Habari wakuu,
tafadhali naomba msaada wa namna ya kupanga matokeo ili mwanafunzi wa kwanza aanze namba moja hadi wa mwisho kwa wingi wa alama zao,wako wanafunzi 302,
hapa nshaandika majina yao...
The 5C is too expensive and the 5S doesn't innovate
Shares in fell by 5.4% yesterday as Wall Street reacted to Cupertino's launch of the iPhone 5C and 5S, the day before.
Investors have...
Nina memory card ambayo ukiiweka kwenye simu ama computer inahitaji niiformat kabla sijaanza itumia. Nami nina vitu ambavyo ninahitaji nivitoe kabla sijaiformat. Naombeni msaada wa jinsi ya...
hata kama umeformat mara mia,
fungua file kisha rename as autorun.inf
ikikwambia already exist ujue majanga,
NJIA YA KUFANYA
Kama umeona haina fungua file rename it as autorun.inf...
Watalaam wetu,naomben mnisaidie namna ya kutatua tatizo la sim yng tecno t756,nilii-restore factory bahat mbaya,sasa baada ya hapo imeanza kusumbua kwa kila mara kusearch mtandao na pia kuandika...
Wadau simu yangu ya IDEOS/huawei imeleta muskiri kidogo kila nikitaka kuangalia salio,kuingia kwenye huduma za tigo pesa,au nmb mobile,simu inagoma inaleta ujumbe "Connection problem or Invalid...
Wadau simu yangu ya IDEOS/huawei imeleta muskiri kidogo kila nikitaka kuangalia salio,kuingia kwenye huduma za tigo pesa,au nmb mobile,simu inagoma inaleta ujumbe "Connection problem or Invalid...
Guys ! naomba mnisaidie nikidownload 2go inadownload bt nikitaka kuinstal inanambia JAR not found kwenye simu tecno t605, mnisaidie ili nifanikiwe kudownload
kwa wale waliotupa avatar 2 dongle sasa hivi zinafanya kazi,data service satellite ilikuwa frequencies namba 12728 h 30000 kule dstv wamenunua satellite ndio maana hakuna signal katika avatar...
Wanduggu zangu wapendwa msaada camera ya cm yang gallaxy ACE 2 haina option ya kuZoom wakati unapga picha,,,PLZ mwenye maujuzi ya ziadda anidondoshee waungwana
Hallo,
Ninatumia Clone TP Link 3G Router TL-WR703N. Kama kuna Mtu Mwenye uzoefu na hizi Ndude tafadhali anisendie Sms right now tuwasiliane anisaidie. Sio Bure.
Ukitaka kuiona click hii link
TP...
From the diagram attached,I intend to change the necessary component tthus to change the output voltage.Currently it's 9 vdc output,I need 5vdc. Your technical
advise is kindly required!
naomba nijue jinsi ya kujua kama pc yangu ni sp1, sp2 au sp3...na je vina ummuhimu gani au vina maana gani?
pia naomba ufahamu kuhusu core.....i.e dual core nk.
natanguliza shukrani...
japo ni...
Wadau habari zenu ..
kwa anaetumia king'amuzi cha continental mie toka jana kinanisumbua sana nina tatizo la antenna ila kwa jana imeongezeka nimeshindwa kupata signal kabisa je>? tatizo ni...
Njia rahisi ya kuhack nokia symbian series,
Fuata maelekezo
doesnt work for nokia c5
type (drankkarious 3.1)
katika google, search, huna haja ya kuenda mbali, ingia mobile9
then download...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.