Wadau naombeni ufafanuzi wenu kuhusu hii application yaJF ya BB kwenye suala zima la kudisplay picha kwani nimejaribu kuitumia ila nikifungua thread zenye picha naandikiwa attachment mpaka tena...
Nilinunua ile 3GB Bundle, inaisha kesho, yaani hata 500MB nimeshindwa kutumia, yaani ni ovyo kabisa inadrop data sana, kufungua page mpaka urefresh mara 3-4 ndo unaingia, hizi ndo Ping ninazopata...
MAY
1
Microsoft Watumia Jina la Kingazija
Kampuni ya Microsoft imeingia jikoni kuanza kupika software ambayo itatumiaka kwa njia ya mtandao (remote network) kuingizwa katika tableti au...
Waungwana wanajamvi, naombeni link inayotoa maujuzi wa kutumia line yoyote ktk moderm kwa kutumia nokia pc suite. Nimeisearch mno mno sana ila nimeikosa. Plz help. Natanguliza shukrani
Google Now Yatinga Kwenye iOS
Google sio wachoyo, au tuseme wanaamini kuwepo kuwa bidhaa na huduma zao kuwepo katika gajeti mbali mbali ndio mafanikio ya biashara zao. Google Now ilianza...
WADAU HESHIMA KWENU
SAMAHANI NAOMBA KUJUZWA KAMA KUNA MTU ANAFAHAMU JINSI YA KUSOMA AU KUFANYA HESABU ZA JINSI HIVI VIMITA VIDOGO UNAVYOWEZA KUFUNGIWA KATIKA CHUMBA CHAKO KINACHOSOMA UMEME WAKO...
Natumia mini Tablet ya Samsung Galaxy tab 2 GT-P3100 ile ambayo WLAN + Celullar, Nimejaribu mara kadhaa kuistall JF inanikatalia. Imekuwa inani-direct Google play store lakini nimeangalia kwenye...
Wadau natumia ubuntu 11.04 kuna data nataka niziangalie kutoka kwenye file server. je nifanye nini ili niweze kuzipata.
kwenye window tushajizoelea ukifungua run > //server name>enter ushafika...
Naomba msaada!kuna mtu hajawahi fika Tanzania,lakini kampuni yake ipo Worldwide!jana amenipigia simu cha kushangaza namba inayotokea ni Tigo ya Tz!Je hii imekaaaje?
Hii simu aina ya iphone 3G nili reset all settings sasa haitumi txt sms, pia kabla ya kunifanyia kiburi hiki ilikuwa ukituma/ kutumiwa sms kama ulisevu no. Ya cm kwa kutumi no inayoanza na 071...
habari wadau jamii forums,huku ninakoishi kumezuka mtindo fulani katika lengo la kutaka kufyatua tofali nyingi kwa kutumia mifuko michache saruji ,watu wameanzisha utaratibu wa kuchanganya cement...
Wakuu natumia HP yenye RAM 4GB(expandable to 8GB) na processor AMD Phenom(tm) II N660 Duo-Core 3.00 GHz
Kila nikiweka Windows 8 PC inafanya kazi vizuri tu,ila tatizo inakuwa nzito sana kucopy...
Jmn
nngeomba kwa m2 mwenye ufahamu na hii office ya vodashop hapa ppf mwanza,
nataka kuomba field ya ICT hapo!, je ntaweza kupata ?
Maana mm nmesoma certfcation za Cisco
zaid ktk haya mambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.