Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
hope mko poa.....nahitaji kujua kama kuna VIDEO CONVERTER katika hiyo package ya adobe master collection cs5.5 na kama ipo, nitajie jina yaitwaje?.....thanks in advance
0 Reactions
2 Replies
943 Views
Hello friends Kama ulikuwa hujui soma hapa chini. Simu za nokia lumia asilimia zote hamna hata inayokubali kufanya kazi kwenye matumizi ya kuhusiana na pesa kwa maana ya M pesa au Tigo...
2 Reactions
45 Replies
6K Views
nahtj sound driver ya dell laptop
0 Reactions
4 Replies
816 Views
karibuni wanajukwaa, tembeleeni blog hii ya mambo ya IT, Ya kipekee kabisa! Link: http://didaserene.blogspot.com/ dont miss!
0 Reactions
4 Replies
2K Views
nlikuwa nataka kureplace dvd drive...ila kava limenifanya mshamba.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wadau, nasikitika sana kuona watanzania bado tunasukumwa kwa manufaa ya watu wachache.... kila mwaka lazima "kibopa" fulani aibuke na njia za kuwanyonya wa-TZ... halii hii itaendelea mpaka lini...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu wana jamvi naomba msaada wenu kuweza ku upgrade iOS 4.2.1 kwenye simu iphone 4 3g, maana sasa hivi apps nyingi zinahitaji ios 4.3 kuendelea ili kudownload, naomba yeyote anayefahamu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wakuu! msaada tutani, naomba Registration ya IDM 615 First Name Last Name Email Serial number nitashukuru sana kwa msaada wenu
0 Reactions
4 Replies
7K Views
MSAADA NAOMBA UKIONA USIDHARAU KAMA UNAJUA HILI...! NIJUZENI KAMA HIKI KIFAA KINATUMIKA HAPA BONGO KATIKA MAWASILIANO android template NA KINAHITAJI INTERNENT JE, MAKAPUNI YETU YA SIMU YANATOA...
0 Reactions
0 Replies
577 Views
hey guyz natumia samsung sgh i900 omnia aka window mobile 6.1 nilikua nahitaj kuereplace window 6.1 to 6.5 nakuendelea.je inawezekana kuereplace na niweb ip ninayoweza kudoenload window
0 Reactions
0 Replies
546 Views
Katika pitapita zangu huko nikakutana na hii kitu nikaona niwajuze (copy n paste) na wale waliokuwa hawajui kuhusu historia ya computer in summerized form..: There is no easy answer to this...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kiukweli sijapata ona mtandao wa kijamii kama huu[JF],,Watu wake wapo tayari kusaidiana any time..Mpaka najiuliza nilikuwa nakosa mambo mengi kabla cjaijua Jf... nitakuwa naidhurumu nafsi yangu na...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
habari zenu wakuu mi nina tatizo la jinsi ya kufanya setting ktk hizi simu za nokia asha kwa ajili ya kupata internet nimejaribu kufanya njia zote lakini nimechemka jamani majirani aliokuwa nayo...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Swali ambalo mara nyingi huwa ninajiuliza ni kuwa, maisha yatakuwaje siku bila Internet au kompyuta au simu? ni dhahiri kuwa maisha yatakuwa ya upweke yenye visirani vingi. Ukweli ni kuwa Internet...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Nikiiwasha kabla haijafika mwisho inajizima, ikifanikiwa kuwaka hadi mwisho basi, mda wowote inajizima, kuzma kwake inakuwa ina stuck kidogo huku ikitoa mlio rrrrrr, then inajizima, tatizo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wandugu heshima zenu! Naomba mnisaidie product key za windows 7 ultimate 64 bits
0 Reactions
3 Replies
1K Views
mi kwakweli nimeikatia tamaa..help pliiz!
0 Reactions
5 Replies
1K Views
What is apt? apt is a Debian tool used to manage packages in such a way that when the user asks for a package to be installed the system also installs (or upgrades) all the necessary packages to...
0 Reactions
3 Replies
793 Views
Kama Unahitaji Uipate Tuchonge
0 Reactions
10 Replies
1K Views
nimesetup email zangu kwenye cpanel, pia kwenye simu na desktop zinakuja na kutoka poa tu, tatizo nnapotaka kulogin lazima niwe redirected kutoka kwenye cpanel. niliconfigure kwa kutumia custom...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Back
Top Bottom