nimewahi kumrekebishia mtu ila leo nimeletewa ingine na naona settings ni tofauti na ya awali na ni tofauti na iphone ya kawaida, sasa kama kuna mtu ana uzoefu na hizi iphone za china mobile anisaidie
Kuna Mtu kafungua account ya FB Kwa Picha Na Jina Langu.. Na kaanza kupost maada Na watu wengi wanaonifaham wamejoin faster.. But he start doing fishy things ndiposa waliponipigia cm kuniuliza...
heshima kwenu wana jamvi tuna website yetu inaitwa vaa.co.tz nataka niipromote kupitia blogs za kibongo naomba mnisaidie kuniambia ni blogs zipi au website zipi ambazo huwa zinatembelewa sana...
Ndugu zangu mm ni maskini katika eneo hili la kiteknolojia,nina iPhone ya kichina na nataka kuiunga na huduma za internet nifanyaje?au huwa hazifungui internet?na km hivyo inawezekanaje simu ya...
Join us on Monday, 6th May 2013 for Mobile Monday Dar event. This month we are going to discuss about the uses of ICT in Tanzanian Tourism sector. Speaker will include:-
Tanzania Tourist...
Nimenunuwa modem yangu ya vodafone na nikawa natumia kama kawaida kwa kazi zangu kwenye internet lakini kutokana na hali nikaamuwa kuitolesha lock ili niweze kutia aina yoyote ya laini lakini kwa...
Heshima kwenu wakuu!
Ninapofungua yahoo kwenye laptop maandishi yanatokea madogo kiasi ambacho nashindwa kusoma naomba kwa kwa yoyote anayeweza kunisaidia ni jinsi gani naweza kuzoom in ili yasomeke.
wakuu nina Toshiba ina Ports mbili za usb lkn tundu moja limechomoka jino...kama kuna fundi wa ku repair hiyo kitu ni direct hapa bongo
naombeni pia kifaa ambacho kinaweza chomekwa kwenye port...
We want to give something to Tanzania SE community and users in general. What would you want to see as FOSS program?
Mh! Probably not kinda "Windows Operating System" or "Microsoft Office"...
Nimefanikiwa kutengeneza complete website ya kibiashara, everything work correctly isipokuwa user anapo register sehemu ya password imekuwa inapeleka wrong data, mfano user sehemu ya password...
Tokea juzi hili tatizo limeanza kunitokea hadi nirudierudie ndio inakubali kila nikiingia inatokea hiyo msg,
JamiiForums Message
Invalid Redirect URL (http://
www.jamiiforums.com/)
Hallo wana JF.
Kuna kitu kizuri Nmeona Ni-share Nanyi.
Kwa wale wapenzi wa Kuangalia Video/Movies/Tv Shows/Series/Sports and everything U name it, there is a Master Gadget Called ROKU 3. Which...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.