Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu naombeni wataalamu mnisaidie internet setting simu yangu ni Sumsung Galaxy S10 laini ni ya tigo yaani haipandishi data network ,Asanteni
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Guys nimekuwa nikihangaika sana kupata baadhinya apps ambazo ni premium zinazohitaji kulipiwa kabla na hata baada ya kuwa nazo kwenye simu. Sina uwezo wa kuafford kulipia ili kupata baadhi ya...
1 Reactions
1 Replies
591 Views
Wakuu kheri ya mwaka mpya, Nakiri kua sisi tulio humu tunatofautiana maarifa pamoja na jicho la kuiona fursa. Mimi hapa Naomba mwongozo, Nina account "page"Facebook inayo jihusisha na maudhuhi ya...
0 Reactions
5 Replies
345 Views
Wakuu, mambo vipi nahitaji Youtube channel yenye Adsense yake mwenye nayo tuwasiliane pesa ipo nichek kwa namba 0767893175
0 Reactions
2 Replies
475 Views
Habari za siku kuu wa tanzania wenzangu. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,kama tunavyoelewa kadhia ya joto majumbani kwetu ina fika kipindi ina kuwa taabu. Sasa wadau nawaza kipi bora...
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Kama kichwa Cha habari kinavosema, naitamani sana kuroot simu yangu ya samsungu na nimesoma makala nyingi sana kuhusu faida na hasara za kuroot simu na nimejiridhisha kiasi Cha kutosha na sababu...
0 Reactions
6 Replies
951 Views
Samahani wakuu naomba msaada wa kujua Kuangalia ni kwa jinsi gani profile yangu Ina asilimia ngapi ya ukamalifu kwenye mtandao wa upwork, kwa kutumia application yao ya simu.
0 Reactions
1 Replies
750 Views
Nina channel yangu ya Youtube ina Subscribers 8k Watchtime 2000 Inaitwa: Story Za Raja Aisee kama una 100k nakuachia channel maana nimepigika sijawahi ona.
2 Reactions
4 Replies
702 Views
Hapo katika dishi la c band hilo kubwa ni uelekeo wa Azerspsce degree 45 e hapo unapata Clouds tv, Star tv, Channel ten, tv E, Mwangaza na Wasafi tv bila malipo kwa mwezi. Hilo dishi la kushoto...
9 Reactions
366 Replies
64K Views
Ulishawahi ni kitu gani kitatokea kama tu rocket itakwenda angani moja kwa moja bila ya kufuata mkunjo wa dunia yetu. Huenda itakwenda bila ya kufikia mwisho na matokeo yake itaishiwa na mafuta...
2 Reactions
14 Replies
891 Views
Oya let's share wewe kwa maono yako unaona aina gani ya tovuti zimesahaulika kuundwa ili maprogrammer wetu waweze kufix mambo? kinara wetu Chief-Mkwawa Binadamu Mtakatifu Hawa ndo ninaowajua humu...
6 Reactions
48 Replies
2K Views
Habari za muda huu wana JF, Kheri ya mwaka mpya wote tuliovuka salama, natumai mko salama. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba msaada kwa yeyote aliyewahi kutumia Nokia NSeries naomb...
3 Reactions
50 Replies
2K Views
PC yangu haikubal kuapdate virus protection.inaload tu ila haianzi kuapdate au inahitaji network nzuri ya kutosha? Au nini shida? Ona hako kaclip hapo chini👇
1 Reactions
0 Replies
350 Views
Wakuu hali sio nzuri Kwa shughuli ya YouTube Tanzania hapa. Idadi ya Views imekuwa ndogo Sana. Naomba Mwenye wazo la Aina ya Content Bora ya YouTube channel aishushe hapa.
1 Reactions
9 Replies
481 Views
Habari wakuu, msaada tutani. Naomba mwenye setups za Adobe(PS, XD, Illustrator na Premiere) ambazo ni cracked, anisaidie. Nipo Dar es Salaam. Nijulishe tuyajenge DM. Nitakujali hela ya maji ya...
1 Reactions
9 Replies
837 Views
Whatsapp Chats, Voice notes, Video calls na Calls za kawaida unazoweza kufanya kupitia Whatsapp ,Je huhifadhiwa katika server za Whatsapp? Na kama nikitaka kufanya backup ya chats, voice notes...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Habari za mda huu ndugu zangu, najua mko poa kuelekea kusherehekea sikuu ya Xmas na Mwaka mpya Wakuu kama kichwa cha uzi kinavojieleza naomba kujua je,!? Kuna hizi zinavoonekana kweny picha...
2 Reactions
7 Replies
990 Views
Baada ya kuwa muoga kwa siku kama Tatu hivi hatimaye nilikuweza ku-root simu yangu ya Samsung Grand quattro Hii ni Baada ya kuona sikipati ninachokitaka kwenye haya MASIMU YA "KIMASKINI" ikanibidi...
23 Reactions
188 Replies
35K Views
Habari zenu mabibi na mabwana, naombeni msaada wenu wa driver ya wireless USB Adapter. Nipo dar, ofa yangu ni elfu tano
0 Reactions
4 Replies
399 Views
Habari wakuu, Naomba ushauri wenu majuzi kati nilipata vijesent vyangu nikanunua tv ya hisense sasa nimetumia wiki mbili tu. Juzi wakati nataka kuunganisha na subwoofer nashika wire naona tv...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom