Habari zenu,
Jamani mimi ningependa kuuliza tu. Hivi wanaposema account zimedukuliwa na data za watumiaji zimeuzwa. Wanamaanisha nini?
Data gani? Wanauza wapi?
Wanaowauzia wanazitumia vipi...
Hàbar ndg zangu Kama kichwa Cha hàbar kinavyo jieleza kijana mwezenu nipo mbele yenu nishida kidogo naitaji msaada kuhusu blog pamoja na mshirika wake Google AdSense kiupi kabla sijaanza jieleza...
INTERNET.
Starlink is now delivering initial beta service both domestically and internationally, and will continue expansion to near global coverage of the populated world in 2021.
During beta...
Habari wana jamiiforums naomba msaada wenu kuhusu Decoder ya Azam TV kila nikiiwasha haiwaki hadi mwisho na badala yake inaamdika neno Boot na kuishia hapo!
Tatizo hili linasababishwa na nini...
Wakuu mambo vipi.
Nipo Dar, Kuna Speakers (Passive Speakers) naziagiza kutoka Amazon, so nahitaji kuzitest zitakapofika na ili kufanya hivyo ninahitaji Amplifier.
Amp ni kwa ajili tu ya kutest...
Ni nini hufanyika wakati kifaa chako kimeibiwa? Je! Unawezaje kumzuia mtu mwingine asiitumie? Shukrani zote kwa Google, ambaye ametoa simu zetu za android huduma inayoitwa factory reset protection...
Kwa kawaida, toleo la simu za Galaxy A ambazo zinauza sana ni A5x. Lakini ripoti mpya zinaonyesha Galaxy A series zitaacha kuwa na toleo la A7x hivyo Galaxy A73 ndio simu ya mwisho kuwa na A7x...
Habar za humu watu wa Mungu.
Aulizae hapotei!
Nahitaji taarifa za kiteknolojia kuhusu speaker kubwa ya bass kuunga nguvu na vifaa vingine nikivyonavyo kwa mziki wa ukumbi. Mziki mkubwa...
Wakuu naomba kujulishwa kama kuna uwezekano wa kutumia kifaa cha kurecodia matukio ya kwenye gari kama security ya nyumbani.
Je inawezekana kutumia king'amuzi pamoja na camera zake toka kwenye...
Kama heading inavyojieleza nimechukua tv flat screen aina ya star X 32 inches few monthes ago ni mpya full box na haina shda yeyote mpaka sasa
Shda iliyokuja kujitokeza n kwamba juzi kati apa...
Habari zenu wapendwa. Naomba msaada wenu ktk hili kwa wale wataalam wa mambo ya computer kwenye software.
Nime download window 10 pro nikaiweka kwa flash nikainstall kwa computer lkn baada ya...
Wakuu rejea kichwa hapo juu ...nataka kufahamishwa namna ambayo Facebook advertising inavyolipa pesa ..mana kuna baadhi ya Friends wamekuwa wakinambia kuwa inalipa na wanatengeneza dollar hata 30...
Mambo vipi wadau, jumamos nilikua na ki event hapa home basi kuna jamaa angu ana HT ya sony akaileta ili isaidie kwa masuala ya mziki. Hii sony ina spika ndefu 2 na zingine fupi 3 tukatandaza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.