Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Mwenye kunisaidia plizi Nimesahau Password ya Ipad nifanyeje wajameni?? Msaada wa kiufundi
0 Reactions
2 Replies
870 Views
Salaam wataalam wa mambo ya tehama....samahani kwa mwenye kuweza kuweka internet download manager software ili tu-download na kuinstall (not a trial version please) naomba msaada huo coz naihitaji...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Habari wandugu Naitaji msaada kwenu kwa yeyote anayejua kublock (kuweka password) documents katika computer (pc & laptop) ili mtu mwingine asiweze kufungua na kuchukua data zangu au mafile yangu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
HESHIMA WAKUU JF: Nilikuwa nahitaji application either ya kununua au ready made / addons kwa mtu anayeifahamu ambayo nitaitumia ku manage facebook page. kwa mfano mtu unaweza ukawa unamanage...
0 Reactions
0 Replies
708 Views
Kwa modem zenye nguvu zaid ni zipi? na mtandao gani? na je ukiunlock ubora wake unakuaje?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tafadhali naomba msaada, iphone yangu iliisha charge ikazima.nilipoweka katika charge nikaiwasha ila haikuwaka hadi sasa tokea mchana ilipozima.Nimejaribu kubadili charger,port etc. but in...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau natumia modem ya zantel kwa muda mrefu sasa ila baada ya kuinstal window mara kadhaa saiz inagoma kusoma yaani huwa inaleta mesage Found new hardware afu inasach mwisho inasema usb drivers...
0 Reactions
0 Replies
778 Views
nawezaje kuunga mndem mbili za zte kwenye connectify maana zinatumia software moja
0 Reactions
2 Replies
837 Views
about:config inafanya kwenye operamini 7.1 ila siyo internet speed optimize bali kuna features za kuenable na disable
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mambo Ndugu zangu. Mbona pako kimya sana humu? au watu wa technology wameisha???? BOFYA HAPA KWA MAWASILIAMO
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Do you want to make your computer speak to you? make your computer talk what you want thistrick is very simple anyone can do even a baby can do this just follow this steps.. Go To Start menu...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
NJIA ZA KUFUATA KUCHAKACHUA WINDOWS 8 APPLICATION download software yoyote ya kulipia (download trial) then download crack ya software zote kwenye hii link http:// www.mediafire.com/...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ni baada ya kukanyagwa na trekta kubwa na hivyo kulazimika kubeba uzito wa tani 24! Kama mimi nisingeitafuta, kungekuwa na haja gani? Lakini mmiliki wa simu hiyo aitwaye Ossi Pyykkonen aliitafuta...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Messaging app WhatsApp is in the negotiating phase over prices with Google in what could be Google’s next billion dollar acquisition, according to an inside source. While the deal started four...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
@www.jamiiforums.com
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hello, Natafuta charge ya laptop Hp 655 (Picha hapo juu). Naomba mnijuze ni wapi hapa dar ntapata charger original (genuine) and at a fair price. Thanks in Advance.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Samsung kabla ya kua giant katika idara ya smartphone alikua ni manufacture mkubwa wa components za simu vitu kama vioo vya simu na chips. Manufacture wa simu wanadesign sample then unawapa...
1 Reactions
53 Replies
5K Views
Mi natumia blackberry 9700, simu yangu ina wiki sasa screen inaweka marangi rangi na inakata maneno, ukiandika unakuta neno moja lipo chini lingine juu, inatoa mstari toka juu kwenda chini...
0 Reactions
0 Replies
727 Views
Nilikua namuwekea jamaa programs kupitia external hdd yangu, after tym programs zikawa not responding, at end system ika freeze kabisa. After restart nikarudisha external hdd tena ika detect but...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa wale ambao hamjaipata start menu na mnaitaji PAKUA HAPA
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom