Jaman naomben msaada kwa hili swala,
nmekutana na computer takriban kama tatu hv Zinaonyesha vivuli ktk icon za kwenye desktop (yaan program zote zinakuwa highligted)
so any help namna ya kutoa...
Hallo Waungwana. Naomba Suggestion kutoka kwenu kwa yoyote anayefaham/aliyewahi kutumia Router yoyote inayopafom vizur kwa Sasa, Aina/sifa zake na Bei yake tafadhali. Sio vibaya pia uka Upload...
Je ni antivirus gani ya kudownlnad ni nzuri(itaprotect computer for real) na inakuwa dowloaded easy! Hata kama ni trial! Nimejaribu AVG inaishia njiani msaada plz!
Mi ni mtumiaji mzuri wa IDM ha ajabu leo wakati nataka kudownload, ikawa inanambia you cant download because IDM has being registered with fake serial number. Sasa wakuu mi nkawa nashangaa...
Habari zenu wakuu,nilikua ninaomba msaada kwa yeyote yule anayefahamu hili tatizo,ni kwamba mouse ya laptop yangu sensitivity yake ipo chini sana,yaani unaweza ukachezesha kidole juu yake lakini...
This is truly a keeper. Faster and better than Google Earth..
ANY ADDRESS - ALL OVER THE WORLD
Much faster than Google Earth.
It's unbelievable technology.
Is there a place to hide on...
Umeme ni jambo linalosumbua sana katika bara la Afrika na pia katika nchi za kimaskini kwa ujumla. Hii sio hali katika jengo la The Pearl River Tower, jengo bora kimazingira Duniani ambalo...
Amani kwenu!
Rafiki yangu kanipigia, anasema mdogo wake haonekani alipokwenda, akipigiwa simu anapokea mtu mwingine na anajibu vibaya. Kaniambia nijaribu kuona kama naweza kujua location ya hiyo...
Wakuu,
Heshima kwenu !
Nawaomba mnisaidie jambo. Mimi nilikuwa natumia Black Berry na imepotea kwasasa lakini nnapata mashaka sana kwamba labda kupitia PIN NUMBER ambayo haiwezi kubadilika...
Wadau kuna desktop ya zamani sana, NCS, imefanyiwa installation ya windows xp ikawa ime fail.
Sasa kila nikijaribu ku install upya windows xp inagoma ku boot toka cdrom wala kuonesha boot order...
wakuu najua wajanja wengi basi nisaidieni niweze kupata hiyo ki2
nimeangalia hizi video lkn nimetoka kapa
How To get Zbigz premium Account 2013 - YouTube
Get Zbigz premium accounts and cookies...
Habari wakuu??
Nipo kijijini na busy sana, jana nimepata muda nikasema walau niangalie nini kinaendelea kwenye mitandao yote ikiwepo ya kijamii thanks JF imekuwa easy na mingene. tatizo langu ni...
laptop yangu toshiba satelite l305 haina cdrom hvyo nikatoa hdd na kuweka ktk laptop nyingne toshiba satelite c850b,baada ya ku finish nikarudisha kwa ile l305 lakini laptop inawaka mpaka pale...
Wakuu, nahitaji msaada wa haraka. Natumia windows 8 lakini sasa hivi nikiwasha pc ikifika desktop mode inaniambia "windows detected a hard disk problem" my pc is dell insipiron mini lakini disk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.