Waju,I wa tech simba mnisaidie maana Mimi napenda kupiga picha sasa Muzingatie nini apo maana naona nacha ganyikiwa juu ya utofauti wa ubora na sijajua inatokana Na idara ipi apo Kati ya software...
Salaam,
Naipenda sana termux kwakua kwanza ni user friendly halafu pia unaweza kuitumia hata kwenye non-rooted devices.
Pia commands zake ni kama tu Linux. Je, unatumia tools gani kwenye...
Habari Wanajamvi baada ya kukaa na kufikiria nilipitia nyuzi nyingi zinazo husiana na web development ila sikupata nilicho hitaji.
Kwenye huu uzi nitafundisha HTML, CSS na JAVASCRIPT kwa lugha...
Tunahitaji kituo kidogo mwezini ambacho kitakachotusaidia au kuwasaidia wanaanga katika mission mbalimbali za mwezini ambapo pia kituo hicho kitakuwa kikipokea wageni mbalimbali wenye lengo la...
SEHEMU YA KWANZA:
MAHITAJI(TOOLS) YA KUWEZA KUFANIKISHA UUNDWAJI WA ANDROID APPS
Kuna programu kadhaa ambazo zinahitajika ili kuweza kuunda hizi apps, programu hizo ni kama zifuatazo:
1. kompyuta...
Salaam JF Tech,
Kama kichwa cha habari hapo juu kilivyo, simu yangu ya Samasung inakataa kutafuta au kunasa Wi-Fi.
Simu zingine zinakubali.
Tatizo nini? Msaada.
wakuu natafuta mtaalamu wa kucheza na cctv camera aweze kunisaidia kurudisha picha kwenye simu yangu imekuwa disconnected hivyo siwez ku log in nimesahau password na username.nipo tayar kutoa...
Apple inalazimika kuruhusu watumiaji wa iPhone kuwa na uwezo wa kuweka app bila kutumia App Store ya Apple. Mabadiliko haya yatawezesha watumiaji wa iPhone ku-install app yoyote nje ya App Store...
Wakuu habari zenu,
Kama mjuavyo flash drive ya kwanzia gb 64 + 1 TB uki format kwa fat32 hua inapoteza uwezo wake wa kubeba vitu vingi na badala yake itahifadhi vitu mwisho gb 32 tu.
Naomba...
Tafadhali wadau naombeni msaada wenu wa haraka. Nimenunua smart kitochi 4G ofisi z tigo ila baada ya kuweka line imeniambia niingize NCK CODE kwenye SIM 1na SIM 2, nauliza code hizo ni zipi?
Kwanza natanguliza shukran zangu kwa wadau wote wa jf na hasa hili jukwaa.Siku zote nilikuwa ni msomaji mzuri wa forum hii ilinivutia mpaka na mim nikaamua nitumbukie mzimamzima.Wakuu mim...
Hellow mambo vipi,
Kama ilivyo ada ya urafiki kwa Watanzania. Kwa ujuzi wangu kiasi nilionao na dhati kabisa ya moyo wangu ,nimeamua kuanzisha uzi hu
Kwako kijana mwenzangu unaependa kujua kusuka...
Abdul mobile payment plugin, hii haijawahi tokea. kwanza kama umeshawahi kujiuliza ikiwa kuna uwezekano wa mtanzania kutengeneza wordpress plugin, yenye kiwango cha hali ya juu kama hii ya kufanya...
Habari wakuu?
Poleni na majukumu na mihangaiko ya siku ya leo..
Niende kwenye mada.
Hapa maskani kuna fridge guard lakini muda mwingi inazima na kuonyesha taa nyekundu inaweza kuwaka na kuzima...
Wakuu habari zenu naomba msaada wa namna ya kuondoa hii divert kwenye simu yangu niliiweka mwenyewe nimeshindwa kuitoa.
Sasa imekuwa kero kwa wateja wangu na watu wangu wa karibu kila wakipiga...
Imeelezwa kuwa shambulizi hilo limeathiri miundombinu ya digitali na mifumo yake kiasi cha kusababisha wafanyakazi kutakiwa kufanyia kazi nyumba.
Tovuti na mitandao yao ya kijamii haijaathiriwa...
Habari zenu ndugu wanajukwaa,ninatumia Smart TV aina ya Toshiba fire TV edition inayo run OS ya Amazon changamoto ni kuwa nimepoteza remote yake nimetafuta bila mafanikio.naomba kwa yeyote...
Habari zanu wakuu, kwa wenye uzoefu wa kuagiza bidha kupitia Aliexpress. nahitaji kuagiza bidha kwa mara ya kwanza,
Je nitapokea mzigo kwa njia gani?
Je mzigo utafika bila shida yoyote?
Kama kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.