Habari wakuu
Kusema kweli hapa Kuna kitu sikielewi ,siku ya tano Leo WhatsApp yangu imekuwa haifanyi kazi ,hata nikibadili namba bado unakuja ujumbe wa kublock ,wananipa maelekeo kuverifie...
There are so many things you do on the computer at the same time.
You watch videos on YouTube, reply to emails, write Word documents, upload photos, listen to MP3 music, play games, read blogs...
Rafiki yangu ameniomba nimpe ushauri kuhusu hizi simu mbili za Samsung.
Binafsi natumia simu ndogo tu ya Samsung A11. Sijawahi kuvuka hapo hivyo sina uzoefu na hizi mnazoita Flagship.
Sasa...
Habarini Wadau,
Naomba nijuzwe ni software ipi ya muhimu sana na inayoweza kutumiwa na bank zote au karibu zote katika process nzima ya kukeep data,kufanya transactions n.k
Kuna uwezekano mkubwa...
Wadau,
Ukiingia website nyingi utaambiwa"We use cookies to enhance performance"hapa watakutaka ukubali cookies(accept)au uzikatae.
Sasa naomba kujua cookies ni nini na kazi zake ni zipi na...
-----------IN_FACT------------
USIJARIBU KUGOOGLE VITU HIVI
KAMA UTAJARIBU NI JUU YAKO MAANA NAKUAHIDI GOOGLE WAATAHARIBU KABISA SIKU YAKO
01.TUBGIRL
Ukigoogle neno hili TUBGIRL utapata kuona...
𝗨𝗻𝗮𝗷𝘂𝗮 𝘂𝗺𝘂𝗵𝗶𝗺𝘂 𝘄𝗮 𝗘𝗺𝗮𝗶𝗹 𝗿𝗲𝗰𝗼𝘃𝗲𝗿𝘆 !!
Unajua gmail imetengenezwa na Google, pia ni moja wapo ya platforms inayotumiwa na mamilioni ya watu ulimwenguni, kwani watu huweza kuchati , kutuma emails...
Habari za muda huu wana JF natumai mnaendelea vizuri kama kuna mgonjwa ugua pole, moja kwa moja niende kwenye mada yangu naombeni msaada wenu akaunti yangu ya Facebook imefungiwa bila sababu siku...
naombeni msaada jamani kwa wale wataalamu wa IT, msaada wa kuhack gmail au facebook password/account
naombeni kwani ninahitaji sana account yangu ina matatizo imehackiwa
Habarini za majukumu wakubwa bila kupoteza muda naomba kufahamishwa jambo hili:-
Ninaweza kujifunza ( kufundishwa na mtu) kupiga codi za electronics device bila kwenda chuo?
Nina elimu ya kidato...
Wanaoijua hii simu nahitaji msaada wenu,
Je, ni simu nzuri? nimeifuatilia mtandaoni inaonekana nzuri ila nahitaji wazoefu ambao wamewahi kuitumia kabla sijajilipua kuinunua.
Habari zenu wana jamii
Naomba msaada tafadhali, simu yangu kila meseji ninayoituma hata ikiwa nataka kufowadi namba au meseji ndefu na fupi ina convert to MMS, nimehangaika nimeshindwa nimekuja...
Wadau wataalamu wa Electronics naomba Msaada wenu.
Hapa nina Tv ya LG smart inch 43, binafsi sikuwahii kujua kama haina 3.5mm Jack bali ina DIGITAL AUDIO OPTICAL sasa nimenunua HI-FI ya JVC MX...
Kama unatumia Samsung siku ukishika simu nyingine za Android unatamani urudi Samsung mapema sana.
Nimetumia Oxygen OS ya One Plus, Color OS ya Oppo, MIUI ya Xiaomi na nyinginezo lakini hakuna...
Kama kichwa cha kilivyojieleza Kwa Wale wenye budget ndogo na tunahitaji simu nzuri zenye camera nzuri [emoji2956] kwenye around 340-400 basi unaweza opoa hii chombo
Xiaomi redmi 10c GB 64-128...
Habarini za muda huu,nahitaji gevey card kwa ajili ya i phone 7+ yenye carrier lock,aliyenayo tuwasiliane au anaejua sehemu ninapoweza kupata tuwasiliane.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwezi huu nataka nijipe kalikizo kidogo baada ya kuchoshwa na kazi ngumu za useremala kwa miezi 11 iliyopita, Ni muda wa kuchill atleast
Najua wengi mtakimbilia kuniambia nishushe series kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.