Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari wakuu Kusema kweli hapa Kuna kitu sikielewi ,siku ya tano Leo WhatsApp yangu imekuwa haifanyi kazi ,hata nikibadili namba bado unakuja ujumbe wa kublock ,wananipa maelekeo kuverifie...
1 Reactions
24 Replies
2K Views
MegaPyne
There are so many things you do on the computer at the same time. You watch videos on YouTube, reply to emails, write Word documents, upload photos, listen to MP3 music, play games, read blogs...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Rafiki yangu ameniomba nimpe ushauri kuhusu hizi simu mbili za Samsung. Binafsi natumia simu ndogo tu ya Samsung A11. Sijawahi kuvuka hapo hivyo sina uzoefu na hizi mnazoita Flagship. Sasa...
0 Reactions
27 Replies
6K Views
Habarini Wadau, Naomba nijuzwe ni software ipi ya muhimu sana na inayoweza kutumiwa na bank zote au karibu zote katika process nzima ya kukeep data,kufanya transactions n.k Kuna uwezekano mkubwa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wadau, Ukiingia website nyingi utaambiwa"We use cookies to enhance performance"hapa watakutaka ukubali cookies(accept)au uzikatae. Sasa naomba kujua cookies ni nini na kazi zake ni zipi na...
12 Reactions
37 Replies
2K Views
Wakuu katika pita pita zangu nimekutana na hii Mic je katika kazi zangu za Online TV itanifaa
1 Reactions
45 Replies
4K Views
-----------IN_FACT------------ USIJARIBU KUGOOGLE VITU HIVI KAMA UTAJARIBU NI JUU YAKO MAANA NAKUAHIDI GOOGLE WAATAHARIBU KABISA SIKU YAKO 01.TUBGIRL Ukigoogle neno hili TUBGIRL utapata kuona...
4 Reactions
41 Replies
9K Views
𝗨𝗻𝗮𝗷𝘂𝗮 𝘂𝗺𝘂𝗵𝗶𝗺𝘂 𝘄𝗮 𝗘𝗺𝗮𝗶𝗹 𝗿𝗲𝗰𝗼𝘃𝗲𝗿𝘆 !! Unajua gmail imetengenezwa na Google, pia ni moja wapo ya platforms inayotumiwa na mamilioni ya watu ulimwenguni, kwani watu huweza kuchati , kutuma emails...
4 Reactions
8 Replies
4K Views
Habari za muda huu wana JF natumai mnaendelea vizuri kama kuna mgonjwa ugua pole, moja kwa moja niende kwenye mada yangu naombeni msaada wenu akaunti yangu ya Facebook imefungiwa bila sababu siku...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
naombeni msaada jamani kwa wale wataalamu wa IT, msaada wa kuhack gmail au facebook password/account naombeni kwani ninahitaji sana account yangu ina matatizo imehackiwa
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habarini za majukumu wakubwa bila kupoteza muda naomba kufahamishwa jambo hili:- Ninaweza kujifunza ( kufundishwa na mtu) kupiga codi za electronics device bila kwenda chuo? Nina elimu ya kidato...
1 Reactions
9 Replies
593 Views
Wanaoijua hii simu nahitaji msaada wenu, Je, ni simu nzuri? nimeifuatilia mtandaoni inaonekana nzuri ila nahitaji wazoefu ambao wamewahi kuitumia kabla sijajilipua kuinunua.
3 Reactions
90 Replies
8K Views
Habari zenu wana jamii Naomba msaada tafadhali, simu yangu kila meseji ninayoituma hata ikiwa nataka kufowadi namba au meseji ndefu na fupi ina convert to MMS, nimehangaika nimeshindwa nimekuja...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau wataalamu wa Electronics naomba Msaada wenu. Hapa nina Tv ya LG smart inch 43, binafsi sikuwahii kujua kama haina 3.5mm Jack bali ina DIGITAL AUDIO OPTICAL sasa nimenunua HI-FI ya JVC MX...
1 Reactions
7 Replies
845 Views
wakuu mwenye kujua ubora wa tv hizi msaada
0 Reactions
2 Replies
608 Views
Kama unatumia Samsung siku ukishika simu nyingine za Android unatamani urudi Samsung mapema sana. Nimetumia Oxygen OS ya One Plus, Color OS ya Oppo, MIUI ya Xiaomi na nyinginezo lakini hakuna...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Kama kichwa cha kilivyojieleza Kwa Wale wenye budget ndogo na tunahitaji simu nzuri zenye camera nzuri [emoji2956] kwenye around 340-400 basi unaweza opoa hii chombo Xiaomi redmi 10c GB 64-128...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Habarini za muda huu,nahitaji gevey card kwa ajili ya i phone 7+ yenye carrier lock,aliyenayo tuwasiliane au anaejua sehemu ninapoweza kupata tuwasiliane. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wataalam msaada wenu tafadhali, nmekuwa nkidownload audio files kwa videoder zinakuwa zinapotea sizipati kwenye storage japo znadownlodika vizuri tu. Simu Samsung A50.
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Mwezi huu nataka nijipe kalikizo kidogo baada ya kuchoshwa na kazi ngumu za useremala kwa miezi 11 iliyopita, Ni muda wa kuchill atleast Najua wengi mtakimbilia kuniambia nishushe series kwa...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Back
Top Bottom