Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Mwenye kunielewesha basi usisite Nimepata tv inauzwa na jamaa yangu hapa jirani rakn kwangu bado umeme sijavuta na tv nmeipenda Nmewaza nije niombe ushauri kuhusu kutumia kwa betri kama...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu, Naomba msaada na ushauri kuhusiana na hii freezer yangu. Nilinunua mpya dukani hapo Katoro kwenye maduka ya vifaa vya umeme ni kampuni ya Hisense ina ujazo lita 100...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Watu wengi mnatumia kivinjari Cha 𝗖𝗵𝗿𝗼𝗺𝗲, 𝗠𝗼𝘇𝗶𝗹𝗹𝗮, 𝗦𝗮𝗳𝗮𝗿𝗶 kufanya mambo mengi Kwenye simu au kompyuta zetu ila achana nazo kuanzia Sasa !!!! 🤔 Ni wakati wa kuzipiga chini sasa 😀 Yani bila...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
JAMANI NATAKA KUPOKEA ELA KUTOKA NIGERIA NA GHANA NA SIO BANK NIMETAMANI KUTUMIA WORLDREMIT YA VODA NAOMBENI MNIELEKEZE
0 Reactions
9 Replies
756 Views
The way you drive and the condition of your car has an impact on the amount of fuel you use. Here are a few tips to help you save fuel and money. 1. Minimise your vehicle use Vehicles are least...
1 Reactions
1 Replies
939 Views
Asalaam aleykum! Wakuu kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza. Mnamo mwezi wa tatu mwaka huu 2021 baada ya kutafakari na kujiuliza mambo mengi kuhusu akili yangu na kugundua kwamba...
5 Reactions
29 Replies
3K Views
Wakuu hamjambo? Mimi nilikuwa na kaswali kadogo tu je kwa wale mliowahi kutumia simu za mfumo wa Non-Removable battery zinapochoka bater huwa zinabadilishwaje? Changamoto zake zikoje maana simu...
0 Reactions
31 Replies
8K Views
Wakuu Ebu nipeni ushauri nasaha hapa mdogo wenu, nimekwama kati ya vyuma tajwa hapo juu, nipite na ipi kati ya hizo mbili. Natanguliza shukrani.
1 Reactions
34 Replies
2K Views
Katika pitapita zangu instagram nimekutana na simu yangu pendwa tangu utoto samsung note 10+ ambayo wakati inatoka ilikuwa haikamatiki maana bei yake ilikuwa inaunguza mikono, leo nimeiona inauzwa...
5 Reactions
11 Replies
3K Views
Mimi nashangaa developers kudharauliana, sasa hivi kule Twitter wanasemwa sana WordPress developers, hamjui future trend ya programming ni kuwa few years to come (Mungu akituweka hai) basi...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari wadau! Naombeni ujuzi wa ku-unlock hii modem iwe nitumie line zote.
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Browser ya kuperuzi ya Google chrome inatumika na zaidi ya watumiaji Bilioni 2 ambao wanaitumia sana. Hivi karibuni kuna kesi inaendelea baada ya tetesi kuonyesha zaidi ya Watumiaji Bilioni 2 wa...
5 Reactions
26 Replies
3K Views
Kampuni ya spaceX inayo milikiwa na mtu namba moja tajiri duniani "Elon musk" kwa kushirikiana na NASA wamefanikiwa kurusha rocket yao ya falcon 9 kwenye mission ya CRS-26 Cargo ambayo rocket hiyo...
1 Reactions
6 Replies
603 Views
Profile visits ni idadi ya watu wanaotembelea ukurasa wako wa Instagram unaweza kuangalia kupitia insights kufahamu kuhusu profile visits kupima maendeleo ya ukurasa wako Ili kuwa na profile...
3 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau mko poa. Natumia Samsung S8 plus. Nafanya mabadirishano sitaki pesa ni mabadirishano tu. Ina ukubwa wa 64 GB RAM: 4 Singe line. Battery : 3500AM Android : 9 Inatumia UI Home ya 1.0...
0 Reactions
0 Replies
480 Views
Wakuu poleni na majukumu naomba kujuzwa ni music system ipi nzuri kati izo nilizozitaja hapo juu. Naomba kuwasilisha wakuu
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Nawasilisha Ndugu kutoka Katika Majukwaa Flani Flani Ya Kwamba Mwezi huu Adsense Hawalipi Mtonyo Mpaka Mwezi Ujao. Kuna Ukweli Wowote wa Hii Taarifa Wanajamvi?
0 Reactions
0 Replies
533 Views
Wadau wa jukwa hili naombeni kujua ni vifaa gani muhimu vinahitajika kuanzisha sever kwa ajili ya hosting ? Ukitoa kuwa na Generator la automatic ambalo ni muhimu kuwepo na Internet ya nguvu...
1 Reactions
7 Replies
700 Views
Habari zenu wana tech, nipo hapa nimepata wazo nataka nifungue forum iwe kama JamiiForums ila tu utakuwa mahususi kwajili ya watu wanaotokea sehemu moja, kufanana interests, kufanya kazi /...
3 Reactions
21 Replies
1K Views
Habari wana IT Naomba msaada kujua ni plaform ipi naweza kurent phone numbers ya USA ambayo ntakuwa naitumia kufanya verification mbalimbali online.
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Back
Top Bottom