Mwenye kunielewesha basi usisite
Nimepata tv inauzwa na jamaa yangu hapa jirani rakn kwangu bado umeme sijavuta na tv nmeipenda
Nmewaza nije niombe ushauri kuhusu kutumia kwa betri kama...
Habari ndugu zangu,
Naomba msaada na ushauri kuhusiana na hii freezer yangu.
Nilinunua mpya dukani hapo Katoro kwenye maduka ya vifaa vya umeme ni kampuni ya Hisense ina ujazo lita 100...
Watu wengi mnatumia kivinjari Cha 𝗖𝗵𝗿𝗼𝗺𝗲, 𝗠𝗼𝘇𝗶𝗹𝗹𝗮, 𝗦𝗮𝗳𝗮𝗿𝗶 kufanya mambo mengi Kwenye simu au kompyuta zetu ila achana nazo kuanzia Sasa !!!! 🤔
Ni wakati wa kuzipiga chini sasa 😀 Yani bila...
The way you drive and the condition of your car has an impact on the amount of fuel you use. Here are a few tips to help you save fuel and money.
1. Minimise your vehicle use
Vehicles are least...
Asalaam aleykum!
Wakuu kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza.
Mnamo mwezi wa tatu mwaka huu 2021 baada ya kutafakari na kujiuliza mambo mengi kuhusu akili yangu na kugundua kwamba...
Wakuu hamjambo?
Mimi nilikuwa na kaswali kadogo tu je kwa wale mliowahi kutumia simu za mfumo wa Non-Removable battery zinapochoka bater huwa zinabadilishwaje?
Changamoto zake zikoje maana simu...
Katika pitapita zangu instagram nimekutana na simu yangu pendwa tangu utoto samsung note 10+ ambayo wakati inatoka ilikuwa haikamatiki maana bei yake ilikuwa inaunguza mikono, leo nimeiona inauzwa...
Mimi nashangaa developers kudharauliana, sasa hivi kule Twitter wanasemwa sana WordPress developers, hamjui future trend ya programming ni kuwa few years to come (Mungu akituweka hai) basi...
Browser ya kuperuzi ya Google chrome inatumika na zaidi ya watumiaji Bilioni 2 ambao wanaitumia sana. Hivi karibuni kuna kesi inaendelea baada ya tetesi kuonyesha zaidi ya Watumiaji Bilioni 2 wa...
Kampuni ya spaceX inayo milikiwa na mtu namba moja tajiri duniani "Elon musk" kwa kushirikiana na NASA wamefanikiwa kurusha rocket yao ya falcon 9 kwenye mission ya CRS-26 Cargo ambayo rocket hiyo...
Profile visits ni idadi ya watu wanaotembelea ukurasa wako wa Instagram
unaweza kuangalia kupitia insights kufahamu kuhusu profile visits kupima maendeleo ya ukurasa wako
Ili kuwa na profile...
Nawasilisha Ndugu kutoka Katika Majukwaa Flani Flani Ya Kwamba Mwezi huu Adsense Hawalipi Mtonyo Mpaka Mwezi Ujao.
Kuna Ukweli Wowote wa Hii Taarifa Wanajamvi?
Wadau wa jukwa hili naombeni kujua ni vifaa gani muhimu vinahitajika kuanzisha sever kwa ajili ya hosting ? Ukitoa kuwa na Generator la automatic ambalo ni muhimu kuwepo na Internet ya nguvu...
Habari zenu wana tech, nipo hapa nimepata wazo nataka nifungue forum iwe kama JamiiForums ila tu utakuwa mahususi kwajili ya watu wanaotokea sehemu moja, kufanana interests, kufanya kazi /...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.