Ni baada ya akaunti husika kudai Generate Code, kitu ambacho kinanipa wakati mgumu.
Pia napewa option nyingi ili niweze kuingia kwenye akaunti ya Facebook kisha niwe na access ya page yangu.
Kwa...
Hawa jamaa wa Starlink wanasema mwakani wanaingia Tanzania. Gharama zao zipo namna. Kununua ungo na router na cables ni dola 500 hadi 600. Kama wastani wa 1.3 za kitanzania. Lakini lengo ni...
Wakuu salama?
Miezi 3 nyuma nimebadilisha simu na kununua simu mpya ya Samsung S9+.
Kawaida magrupu yangu yote huwa na yawake katika silent mode 'mute'. Ili kuepusha kusumbuliwa na muito wa...
Wakuu kama kichwa cha uzi kinavyojieleza hapo juu.
Hivi ni kweli kuna application inayoitwa "Psiphon Pro" na huwa inatumika kupata Free Browser Internet?
Nasubiri maoni yenu.
Habari zenu wakuu? Kuna hii tabia mtu anaazima simu yako hafu anaingia mtandaoni kuperuzi Mambo yake iwe kubet au kuingia YouTube na kutumia MB zako, Mimi kwangu imekuwa kero naomba msaada nitumie...
Mimi si mwenyeji wa iPhone lakini imenitokea kuna baadhi ya emoji sizioni, kuuliza nimeambiwa nifanye update.
Nachotaka kujua,
Process ya updating inatumia GB ngapi?
Naweza tumia simu nyingine...
Kamouni inayomilikiwa na Tajiri namba 1 duniani Elon Musk, Neuralink Corp. imesema ndani ya miezi 6 itaanza majaribio teknolojia yake ya kupandikiza 'Neva za Ubongo' kwa binadamu.
Neuralink...
Amani kwenu waungwana,
Aisee nilipoteza simu ikiwa na laini ambayo nilikuwa nimeunganisha kwenye e-mail address yangu kwa ajili ya verification. Kwa bahati mbaya wakati najaribu ku-renew ile...
Wana jamvii salaam!
Moja kwa moja niende kwenye mada, hapa ni TV ambayo ilianguka, ikapasuka kioo cha juu na display pia(kioo cha ndani) sasa je kuna uwezekano wa kupata spare zake kama ilivyo...
Habari na Heri ya Mwaka Mpya 2021!
Nimeamua kila nipatapo wasaa kujaribu kusaidia kuelimisha na kushirikisha mawazo wadau mbalimbali juu ya Teknolojia na Biashara, hasa Teknolojia ya Habari na...
Habari wanajf. Moja kwa.moja kwenye mada,
Mimi naomba kujua njia ambazo zinatumika.kudukua mawasiliano ya simu za.mkononi, kwa mfano kwenye social media kama whatsapp. Nimejikuta mtu ana habari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.