Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Tsh 12,000 per Month Tsh 3,000 per week and Tsh 500 per day....balaaaaaaaaaa *Terms and conditions applied
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Huawei U8150, U8160 unlocker freeee kwa watu kumi wa mwanzo. pm yangu imejaa maombi ya huawei unlocking nikaona nitoe free software kwa wale kumi wa mwanzo hapa. uki-pm sitajibu
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau naomba kwa mtu yeyote mwenye uzoefu na haya mambo anisaidie yafuatayo 1.Utaratibu wa kufuata|+ requirements ili kupata leseni ya kurusha matangazo ktk TV 2.Jinsi ya kufanya ili tv station...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nna samsung yangu C6112 nataka niwe na lock sms sasa inanidai cods naomba mnifahamishe.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu; Jamani naombeni msaada for the past two month napata shida sana kufungua official mail yangu ya yahoo.Ilikuwa ivi,niliwazima mtu laptop katia kufanya kazi zake akaremove...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Jamani hii mashine imegoma kutype kabisa yani keyboard haisupport kabisa na pia kasa haifanyi kazi mpaka nitumie external mouse. Tafadhali jamani naombeni msaada wenu
0 Reactions
4 Replies
1K Views
simu yangu Nokia asha 200,je nifanyeje ili niweze kuona video za you tube
0 Reactions
1 Replies
940 Views
sijui kwa wengine kama mnapata hii adha... Nina kinokia changu, E72...mara nyingi nikiwa active katika packed data huwa sipatikani hewani. Nimehakikisha hili baada ya kujaribu mara kadhaa...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kwa wale wenye simu zinazo support video call kuna apps Kama skype na fring lakini skype hai support video call kwa baadhi za simu zenye uwezo huo fring Ina support video call kwa platform hizi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani nimepata hii mail kutoka yahoo mida hii Security Alert ,Your Yahoo account has expired.You must renew it immediately or your account will be closed. click here to renew Regards...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa wale wenye simu zinazo support video call kuna apps Kama skype na fring lakini skype hai support video call kwa baadhi za simu zenye uwezo huo fring Ina support video call kwa platform hizi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba msaada wakuu, Nime delete unexpectedly email zangu muhumu sana. How can i recover them?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Cheki mwenyewe HACKED BY Mr.Taha !
1 Reactions
46 Replies
4K Views
Jamani nina simu Ideos imebanwa na kampuni ya simu nataka ifunguliwe ili niweze kutumia line ya kampuni yoyote. Naomba msaada kwa anayejua mahala nitakapopata mtaalamu wa kuifungua itumie line...
0 Reactions
0 Replies
806 Views
Unapomiliki simu kuwa mwangalifu
0 Reactions
2 Replies
818 Views
jamani website ya chuo hiki mbona haifunguki www.saut.ac.tz:spy:
0 Reactions
14 Replies
2K Views
heshima kwenu wana jf! naomben msaada wa namna ya ku-upload profile picture. shukran
0 Reactions
3 Replies
1K Views
najaribu kufikir juu ya hili.je inawezekana?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kwayeyote alie na uwezo wa kunisaidia,nina dish la ft6 resiver guf star,nipo morogoro,awali nilikuwa na pata kwasasa sipati kabisa,naombeni msaada.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
wadau ebu nijuzeni wapi naweza kumpata fundi wa ku-unlock huawei ideos hapa dar .... bei iwe chn ya buku 10
0 Reactions
0 Replies
806 Views
Back
Top Bottom