Wapendwa nataka kuanzisha website kwa ajili ya vijana wadogo, kuwapa maelekezo ya malezi mema na shuhuda za watu waliofanikiwa kwa kuchunga tabia zao. Sasa nahitaji kupata jina nitakalotumia kama...
Habari wanajamii, nina laptop yangu ya hp pavilion dv5.ilipata matatizo ya power supply.nikaipeleka kwa fundi.akaniambia imekufa motherbody.naombeni kama kuna mtu anaweza akawa na hiyo motherbody...
Kuna mtu kanirushia hii email: Logically this is possible, sina uhakika kama Polisi wetu hapa wamewahi kuwaza hii mbinu inayoutumiwa na Polisi wa Kenya ila ni shida kidogo pale ambapo vocha...
guys natumia laptop aina ya Toshiba Satelite but all of a sudden mlango wa dvd kila nikiweka dvd inagoma haisomi, naombeni msaada wa mawazo guys im stuck kwa kweli :wacko:
Habari za asubuhi JF Members?
Napendwa kufahamishwa kama mashine yangu ina support Windows 7.
Download hiyo file hapo chini halafu unipe feedback.
Natanguliza Shukrani.
Habari wadau nahitaji antivirus ya Mcafee endpoint protection for windows. It's very important I get this today.
Mwenye nayo tuwasiliane 0685 482 501. Deadline saa 9 mchana wa leo. Please!
Jamani, natafuta RF unit ya VSAT ya KU band. Ni zile wanazotumia wateja wa afsat.
Kama kuna mwenye nayo hasa wale waliokua wanatumia afsat wakahama na wamebaki na equipments.
Nipigie 0767...
Habari wakuu,
Nina simu aina ya Tecno T8. Nilikuwa nasikiliza miziki kutoka simu hii kwenye car stereo. Nashangaa baada ya matumizi hayo ile alama ya "Headset" haikupotea mpaka sasa na imepelekea...
One of the most complicated missions ever attempted by NASA, the landing of the one-ton rover Curiosity inside a crater on Mars after a 500 million kilometer journey, has apparently gone without a...
The Mars science rover Curiosity landed on the Martian surface shortly after 10:30 pm Pacific US time on Sunday (0530 GMT) to begin a two-year mission seeking evidence the Red Planet once hosted...
Nina .aspxpage.
Page in ListView control ambayo inaoesha majina ya nchi mbalimbali(nchi zipo stored kwneye database).
Kila jina la nchi,lipo ndani ya anchor kama hapo chini.
<a>Country</a>
Nataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.