Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Naombeni msaada wenu wataalamu wa JF. Laptop yangu ya Toshiba yenye Windows XP Proffesional ina program 3 kwa ajili ya ku-play back DVD. Hata hivyo zote zina matatizo kama ifuatavyo: 1.Window...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wadau naombeni mnisaidie ni software gani inatumika kutengenezea video tutorial kama tunazoona youtube nk
0 Reactions
13 Replies
1K Views
natumia sony ericssony w580i kila nikitaka kudownload naambiwa operation failure. Natumia lain ya tigo. Nini tatizo wadau?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
habari guys... Nataka kuconnect internet kwenye lapt through my nokia c7..its is incompatible with my phone instead inataka niinstall ovi suite ilu niconnect internet... Plz guys aliyeidownload au...
0 Reactions
0 Replies
854 Views
Habari wana Jf nilikuwa nauliza ni jinsi gan nitaweza kua Update software ya NOKIA C 3
0 Reactions
0 Replies
749 Views
Machine yangu PC niliizima vizuri kuja kuwasha nikakuta maneno yanasomeka juu chini, Nini inaweza kuwa tatizo hapo?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu wa Technology. Naomba msaada wenu kwa hili simu yangu ni NOKIA N97 na inatumi Os ya SYMBIAN. Hii operating system inanisumbua sana hivi ninaweza kuibadilisha kweli? Au kama kubadilisha...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu za Jumapili, Ninahitaji msaada wa hii software, (mac) kuna video hazikubaliwi na Final Cut Pro 7, mfano, vob, mp4 nk. nikiziconvert kwenda mov kwa kutumia Quicktime, bado pia zinakataa...
0 Reactions
0 Replies
785 Views
Nina simu nilinunua kwenye promotion inakubali line moja tu ,napenda niwe natumia line tofauti tofauti msaada wana jf
0 Reactions
0 Replies
759 Views
Nimefungua internet katika simu ya kichina lakini inakataa inaandika secure sijui nifanyeje jamani naimbeni msaada wenu wa kufungua simu ya kichina internet natumia laini ya tigo na ya voda
0 Reactions
2 Replies
2K Views
1: Gain experienceEven though IT experience isn’t enough to get you recognized as an expert in an industry that’s filled with experienced IT pros, it is the first prerequisite. No matter how...
0 Reactions
0 Replies
969 Views
  • Closed
Habari zenu wajuzi Nimekuwa nikisikia kuna mfumo wa kuchat na marafiki kuitii hii tovuti ya ukweli kabisa jamiiforum.com lakini kila nikiuliza naambiwa mpaka laptop yako iwe na Java thanx god...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
1. What is spoofing? Spoofing is the part of any form of communication (electronic or physical) whereby the sender inserts/attaches false identity contact information to the communication. Some...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau vipi nitaweza kusoma bar code (mfano ya hapo chini) natumia Blackberry curve 8520 naomba kwenu ujuzi
0 Reactions
2 Replies
911 Views
Waungwana naombeni maujanja ya ku-upgrade kutoka window vista kwenda window 7 ultimate..nikijaribu ku-upgrade inaniambia ni lazima niwe na window vista service park 1 or higher. Naombeni muongozo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu hali, nina iPod touch kwa muda, na ina some stuffs za mwenye nayo. Sina acc ya itune, as sina credit card, ambayo nashindwa ku-bypass wakati wa refistration. this device is 4.0.2, siwezi...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
natafuta betri ya LG KU990
0 Reactions
1 Replies
728 Views
Wadau vipi naweza kusikiliza fm radio ktk BB curve 8520? Na inawezekana kusikiliza bila internet? Natanguliza shukrani
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Hey wadau msaada! Nili update software ya Nokia x2-02 to v 11.62 then baada ya hapo nikipigiwa simu inakuja namba hata kama namba nimesha save mpaka uanze na 255 what to do.?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom