Heshima kwanza wana jamvi naomba kama kuna mtu anayo au anajua pakupata nikita s02e23 anisaidie link na namna ya kudownload msisitizo iwe ya bure manake uchumi sio mzuri na bajeti natumai mmeiona...
Kwa muda wa mwezi sasa kumekuwa na mianya ambayo inawawezesha wavamizi wa mambo ya mitandao (hackers) kuwashambulia wale wanaotumia internet explorer (IE) kufungulia akaunti zao za Gmail na kutoa...
vipi wadau wa Jf? sasa Unaweza Kuupdate Your BB kwa njia Rahisi Sana Na Kukuwezesha Kuenjoy more Features as Ukitumia Njia ya kawaida Ile ya Kutumia Software Updater,RIM watataka Uwe na Active...
Tigo wameshindwa kulipia huduma za Youtube ili kumwezesha mtumia Blackberry bandle kuplay youtube vídeo .. Unajikuta unaplay lakini unaingia gharama za kawaida na si za kwenye bandle .
Je vipi...
Wadau naomba msaada wa kupata instructor manual ya colin drury kama kuna mdau anayo ya soft copy naomba anitumie kwenye email yangu
kasingotz@gmail.com
Wakubwa habari za mida hii
Tafadhali naombeni msaada wenu kwa wazoefu wa masuala haya kudownload nyimbo.Hapo awali niliipata youtube downloder ila haifanyi kazi vizuri inadownload robo tu ya...
Paypal is the most secured and commonly used system for online transactions.And most of the online shops and other services accepts paypal as the payment medium.Paypal gives a lot of features for...
Ubora wa picha wa Channel 10 na TBC 1 ni aibu. Tena bora TBC, Ch10 ndo bure kabisa. Kwa zile picha ambazo sio zao kama vile video za wasanii huwa zinavutia lakin zao mfano vipindi vya bunge ni...
Wadau,
Kuna zile Sony Walkman za kutumia tape (cassette tape), kwa hapa mjini Dar wapi naweza enda nikapata?
Nitafurahi kwa anaejua mahali naweza pata akanielekeza na bei pia kama kuna...
mimi sio mtumiaji sana au sio mtaalamu wa internet, nina tumia samsung Galaxy pocket GT S5300
naomba kufahamishwa kama naweza kujiunga na kutumia Skype kwa kutumia hii simu...
iwe ipo pouwa sifa
12mp and obove
4 optc zoom and above
ikiwa na memory card itakuwa powa zaidi hata kama imetumika lakin isiwe sna kias kwamba inakuwa imechoka.
Kwa mujibu wa habari za Kimataifa kuna uwezekano wa kuzimika sehemu kubwa duniani kufatilia marekebisho ya kuondoa virusi, chini hapo kuna links za bure za kurekebisha kompyuta zitakazoathirika...
Natanguliza shukrani wakuu,naomba maelekekezo kwa mtu yoyote anaefahamu kuunga internet kwa kutumia simu ya HTC desire a8181 na kama anaweza anatumia software gani?.....msaada tafadhali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.