Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari! Kichwa cha habari kinajieleza... if u need an ipad 3g and wifi enabled contact 0712198128.. bei ni 650,000.
0 Reactions
1 Replies
748 Views
Jamani naomba mwenye keys za adobe photoshop c5 au keygen.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Heshima mbele wakuu! Natumia window 2010, kuna wakati nilitaka kuweka program fulani technician aliporudisha Window ikagoma ku activate Naomba msaada wa kuactivate window 2010
0 Reactions
6 Replies
1K Views
i have a Toshiba satelite a300 model. The laptop restarts when connected to a power cord.Can anyone tell me whats causing it to restart?At first i thought the sink and fans are clogged with...
0 Reactions
0 Replies
569 Views
Wakuu nnachoomba ni maelezo ya jinsi gani nifanye nipate kuskia simu za namba nyingine anapokuwa anapokea nami niwe naskia pia!
0 Reactions
16 Replies
15K Views
WAKUU HABARI nimepata solution ya ku unlock hizi modem mpya za tigo E153 na zile za safaricom ya kenya na hizi airtel mpya za E173 ambazo hata temporary unlock zilikuwa hazitaki. sasa imepatikana...
3 Reactions
19 Replies
4K Views
RIM = Research in Motion, watengenezaji wa Blackberry. RIM wametangaza hasara ya $518 Million. Wanafukuza watu 5,000 kazi kupunguza gharama za uendeshaji. BB10 simu mpya yenye OS mpya, ambayo...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Kwa wana Jamii na watanzania wenzangu ulimwenguni kote. As a responsible citizen nimeamua ku-share elimu ndogo inayohusu Cyber Security ambalo ni eneo langu kiutaalamu. Kumekuwa na various...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Am new here!!ila naomba mwenye kujua sites zozote ambazo nnaweza kudownload nyimbo mpyaa za bongo freee?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Naombeni msaada wa haraka wataalam humu jamvini,kila nikitaka kulog in kwenye facebook account yangu inalog in lakini baada ya kama dakika moja page ya facebook inapotea na kufunguka...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Msaada wataalamu, nitajuaje genuine na fake ya LCD TV 32" Movie Player, ctak kuingzwa mujini asee, msaada Natanguliza shukrani
0 Reactions
0 Replies
667 Views
za jumapili wakuu..nahitaji kununua smartphone kutoka IT-DEPOT kama kuna mtu ameshawahi kufanya biashara na hawa jamaa ON LINE anijuze tafadhali kwa anayefahamu hili.natanguliza shukrani kwenu.
0 Reactions
2 Replies
829 Views
wakuu mambo niaje? naomba kuuliza hivi kwanini mitandao yetu ya voda, airtel zantel na tigo hawana 3g wilayani? nipo mkoa wa kagera kama wiki tatu hivi kikazi lakini ukiwa mkoani pale Bukoba...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
jamani hiyo simu inauzwa kwa laki unusu tu...(fixed)...if u r interested pm me...niko dar
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Morning members? Kuna a "shareware" nikimaanisha trial software, ambayo inafanya hiyo kazi ya kuprevent disconnection. But wanatoa 30 days trial & na wanauza kwa $15 Dollars. Google hiyo...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mimi ni mpenzi wa movie, nimedownload movie ambayo ipo zipped and password protected, sina hata hizo password. Naomba msaada ili niweze kupata raha ya movie hii. The name of the movie is '...
0 Reactions
4 Replies
989 Views
Having trouble with your computer? You've come to the right place. Even if you don't know a computer language (or want to), you can solve several common PC problems on your own.In this article, we...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu wadau nasikia kuna technolojia ya kuhifadhi document kwenye open space! Nihitaji kupewa details hii technology inafanyaje kazi na ukitaka kuitumia unaitumiaje. Tafadhali mweye ufahamu share...
0 Reactions
1 Replies
828 Views
Habari zenu wana tech &gadgets, Nina modem ya voda. Nimeitumia huu ni mwezi wa pili sasa, lakini inaanza ku-gererate errors za ajabu. Nikiiweka kwenye laptop yangu inaleta error inayosomeka:"...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Wakuu,kuna mtu anafaham compatible version ya whatsapp messenger kwenye cm kama n70 na n72? Au jinsi ya ku emulate .Sisx apps kwenye .Sis devices?
0 Reactions
2 Replies
8K Views
Back
Top Bottom