Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wenye maujanja wanisaidie nashindwa kudownload video na movie, mwenye idm anisaidie.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau hiyo ndio meseji napata nikiwasha pc yangu ilitokea baada ya ku-restart windows to apply updates! Help please. Ni pc aina ya lenovo T410s, haina CD drive! chief-mkwawa shalobaro...
1 Reactions
7 Replies
7K Views
Nasomba msaada wa link niweze kudownload adobe photoshop au kwa aliye nayo naomba anisadie pia..
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Naomba msaada wenu wadau, kwani nimejaribu kuinstall Win-ZTEdrv VI.0.1.16, nimeshindwa
0 Reactions
10 Replies
2K Views
kudownload muv kupitia yale ma proxy yetu na kama ndio embu mni pm watu wangu itakuwa poa ahsanteni saaaaana
0 Reactions
1 Replies
816 Views
site ama torrent site gani naweza pata download java na PHP video turtorials sanasana zilizoelezewa na hao cbt nuggets ama lynda.? na pia kama unajua watu wengine wanaoelezea vizuri hzo tutorial...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
please wadau,,,,naomba anayejua mchakato wa kuunga internet aniibie ufundi
0 Reactions
4 Replies
2K Views
For sure, blackberry is nice smart phone, cheap sometimes and easy to use!. When it comes to internet service I hate BBerry because I have to pay 35000 for my phone to be connected to internet...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wakuu, imezoeleka mtu anapoformat computer, hata kama alizifuta data zake zote, lakini akifanya back up, data zote anazipata. swali la kujiuliza, unapofuta, data hizo zinaenda wapi? na kama data...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu. Naomba mnisaidie nina shida ya kufungua inbox sms kwenye simu ya sony ericson P990i. Kila nikifungua inanipa ujumbe wa "APLICATION CLOSED" reason code 130.
0 Reactions
3 Replies
806 Views
Wakuu Nina iPhone,8GB,je naweza kuitumia kwenye laptop kuniweka hewani kama vile modem?????msaada tafadhali!!!!!
0 Reactions
46 Replies
4K Views
nokia e51 wananiambia hawana new update yake na yangu iko outdated nisaidieni na link if posible
0 Reactions
0 Replies
534 Views
Habari wana JF. Natafuta drivers za web cam ya sony VAIO laptop model VGN-CS21S/R. Laptop ina Windows 7. Nitashukuru kuipata..
0 Reactions
5 Replies
2K Views
I recently got a page which sells mobile phones in UK and quite frankly the prices are a bit scary so i wanted to know if anyone has already tried buying and succeeded because you have to pay...
0 Reactions
0 Replies
686 Views
Wadau wa Science on JF,naomba kwa anaeweza anisaidie hili,Nina simu ya BlackBerry,sasa tatizo lake ni kua nikijiunga na bundle ya internet zile service books haziingii katika simu after...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
There could be many reasons why you’d want to troubleshoot your computer, well, one actually and that’s because something is not working right. The process of troubleshooting is something you...
4 Reactions
11 Replies
4K Views
jamani nimeweka window 7 nimekosa sound driver mwenyenazo jamani naomba watu wangu
0 Reactions
1 Replies
868 Views
Heshima kwenu wataalam, Mimi nimekuwa nikijaribu in vain muda wote kudownload watsapp application kwa simu yangu LG X330T..nikaambiwa eti watsapp haikubali kwa simu za java. Je,hadi sasa...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Salaam wadau Kama swali linavyojiuliza...eti information ambazo ume-burn kwenye CD zinaweza kuwa-attacked na computer viruses, naomba elimu kwenye hili!
0 Reactions
4 Replies
2K Views
jaman mm leo katika kuperuz in different blogs nkaona hii kitu. Kuna anae ifahamu hii ! [okkomadewal.com/2012/06/change-your-desktop-as-3d-shock-desktop.html?m=1] :ranger:
0 Reactions
4 Replies
969 Views
Back
Top Bottom