wakuu mashine yangu gateway M-6843 NIMEISTAL webcam usb driver 2.0 but amna kamera on screen nilistaal YOUCAM 5 ikaisha baada ya siku 15 yaani kuexpire sasa napata shida jinsi ya kutumia webcam...
guys kama mjuavyo voda wameachia ki2
kwa watumiaji wa nokia s60 3rd ambao wamezihack simu zao kuna operamin7.sis nimeiingizia hyo server ya bure ndani ili itumike bure..
cha kufanya...
Wakuu habari za jioni.Naombeni kufahamishwa brand gani ya external disk ni durable zaidi, na inapatikana around sh ngapi.
I once had a terabyte of Western Digital, lakini nadhani ikapata...
Natumia Samsung galaxy mini. Tatizo ni kuwa, kuna baadhi ya pro softwares ambazo nimezidownload for free from other sites like pirate bay na black Mart zinakuwa blocked na Google play, saa au siku...
Poleni na majukumu wana JF
Naombeni msaada web site gani nzuri na yenye mafanikio ambayo unaweza ukaandika propasal tofauti tofauti kama business loans nk na ukafanikiwa iwe ni web site ya nje au...
habari zenu wanajf,
Naomba kujua ni software gani na nitaipataje ikiwa ni full version inayoweza kurecord skype conversation. Ningependa hiyo software iwe inauwezo wa kurun in the background...
Kwa wale mnaopenda watoto wa geti kali, wake za watu ama waume za watu, ama kutoa ujumbe wowote ambao hutaki kuwa shahidi katika sms ulotuma. Just go to messaging(click) and go to flash sms, write...
wenye huu ujuzi wananipatie
mimi niona kama tv turner inarekodi hii kitu katika mfumo wa nalogia hvyo picha zinakuwa na chenga chenga sana tofauti na inavyoonesha
je kuna njia mbadala
nitashukuru
naomba nielekezwe tatzo nini katka cm yangu inafail kufungua facebook. natumia mchna nokia n70. net kanafungua tena kwa kas saf, nik fungua najaza e-mail na p-word then nik log in cm inazma au...
mwenye kujua jinsi ya kuconfig DNS kwenye fedora 16 anisaidie kwan inafika mahali nainstall bind inaonyesha kuwa imenstalled lakin nikija kuitafuta katika file system->etc siipati sasa nashindwa...
Kwa wale wataalm wa Aga na maswala ya Ndege.Naweza kujua kwa udani juu jisnsi gani ndege na vifaa vyake vya kielectronics vinavyoweza kusaidia ndege,kupaa,ikiwa agani na ikitua aridhini.
tafadhili...
It's been hailed an 'iPhone killer' and the 'best smartphone ever made' - so can the Samsung Galaxy S III live up to the hype?
The keenly anticipated Samsung Galaxy S III
The S III boasts a...
BBC News - Two blind British men have electronic retinas fitted
One day in this journey a future generation will look back and say "why did past generations wasted so much time praying?"
Nina shida ya kutengeneza list ya mashule na maeneo yalipo mfano:
Maua Seminary
KILIMANJARO
MANOW LUTHERAN JUNIOR SEMINARY
MBEYA
Nimeipata hiyo detail kutoka necta lakini najua kuna...
Wana jamvi nimecheza hii game hadi nimefika sehemu ambayo nahitaji kuvuta crank, instruction inanitaka kuhold R1 na L3 ili kuivuta hiyo crank, sasa ishu ni kufungua huo mlango ambapo unafunguka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.