WORLD IS GOING CRAZY,MURDERS,SUICIDES,IMMORALITY AND OTHER UNEXPLAINED BEHAVIOURS AND DECISIONS ARE ALL AROUND US.COULD GALACTIC, SOLAR AND GEOPHYSICAL INFLUENCES ON HUMAN BEHAVIOR BE...
Wakuu habari zenu
Nahitaji kujua hii kitu kweli inafanya kazi?
Kwa mwenye ujuzi/uzoefu na ameshawahi kuunlock kuna madhara yoyote?
Ninataka kuunlock Redmi Note 10 pro ningependa kupata muongozo...
wadau nahitaji msaada jinsi ya ku solve hii error!
inatokea wakati wa installation ya pes 2017! Kwenye
desktop window 10,64bit
Spec za machine:ziko supportive
Tunajua kabisa password za akaunti mbalimbali ni siri .Lakini Kuna Watu Wanazigundua .Kuna Rafiki yangu mmoja akaunti yake ya facebook iliibiwa na hacker akapost picha mbaya kuchafua jina...
Watu wengi hawatofautishi discoveries na inventions. A sharp contrast exists between the two. Linganisha haya na ile list ya 10 inventions nilyotoa hapo awali.
Life-Changing Science...
Wakubwa habari, by default kingamuz cha canal kinasoma Ethiopia nabadilishaje county?
Je, nafanyaje kuweza kuona zile canal Sport 1, Sports 2, sport 3, Sports 4?
Simu hii imeandika rekodi ya kihistoria - kwa kuwa simu ya kwanza kuwa na uwezo wa Satellite (kabla ya iPhone), ina kamera ya latest gen ya Huawei.
Ukitazama hii promo, nenda kacheck promo ya...
Marekani imepanga kupeleka raia wake huko sayari ya Mars ifikapo 2030s.
Urusi nayenyewe imepanga kupeleka raia wake Mars ifikapo 2040s .
China nao wamepanga 2040s kama urusi.
Sasa sisi...
Habar wadau
Hivi vitu viwili mm huwa sivielewi kabisa nilichogundua kuna kitu sikujui hapo ivo nikaona bora niulize ukienda kwenye mitandao km TTCL au SIMBANET nk wana internet za dedicated na...
Wakulu najua humu hakuna kinachoshindikana mwenye kufahamu jinsi ya kufungua PAYPAL account na kulink direct na mitandao kama vile Tigopesa, Mpesa na Airtel anijuze.
Wakuu naombeni msaada.
Simu yangu ni aina ya Aquos Zero 801SH. Mwanzoni sikujua tatizo linatokana na nini ila nilivyofanya uchunguzi binafsi nikagundua kuwa kila nikiingia telegram tu simu...
Wakuu Habari
Kuna Kaz Nafanya Ya Ku Test App Ila Inatakiwa Laptop Au Desktop Yenye Windows 10 64 Yenye ARM Processor.
Kwa Wasiojua Ukienda Kwenye This PC, About Utakuta Sytem Type 64, ARM 64...
Habari za mchana ndugu zangu,
Nina Samsung S9 Plus imeharibika kioo sasa ninataka aidha kurudishia kioo au kupata fundi wa kurecover contact zangu zilizopo kwenye hiyo simu. Niliisajili online na...
Karibu.
Naitwa Musa Buzelengule . Ni Upwork Freelancer . Nina 300+ Earnings kwa Sasa .
Naomba kujua ni changamoto zipi zinafanya watu wasipate kazi ya Kwanza?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.