heshima yenu wakuu! kuuliza co ujinga. naomba kujuzwa ni kwa nini namba zingine za cm za nje ya nchi zina tarakimu (digits)11 na nyingini zina 12 tofauti na hapa kwetu tanzania zote zina tarakimu...
Posted on April 25, 2012 by www.mzalendo.net
Kamishna Ali Abadalla kushoto akiangalia kifaa kipya cha kuzimia moto kijulikanacho kama DSPA 5 kutoka kwa askari wa kikosi cha Zima Moto na Uokozi...
At just 22 years, Abdu Ssekalalas appearance is that of an ordinary student, but looks can be deceptive. The young man, is no ordinary student, while his colleagues await to celebrate sitting...
Wakuu natumia Blackberry curve, kwa siku huwa inajirestart mara moja au mara mbili....
Tatizo linakuwa ni nini?? Na nitawezaje ku solve?
Natanguliza shukrani
nimekuwa nikijiuliza swali hili kwa muda mrefu. hivi mitandao kama gmail, yahoomail, youtube na mengineyo wanalinda vipi taarifa zao maaana kuna wapinzani wao wa kibiashara wanaweza kwa makusudi...
yaaani imekuwa tabu sana kwangu leo kusoma huku chuo na hela sina watu wangu niokoeni hata na maujanja mengine bhana hata ya mtandao wowote, ila VODACOM nahisi humu ndani wapo na ndio wamezuia...
Wana Jf mimi natumia window 7, wakati unazima computer kuna option mbili unapewa ya Sleep au Hibernate..
Naomba kujua kuna tofauti gani kati ya hizi mbili na zinatumikaje??
Wakuu kuna mtu aliniomba nimpe facebook id yangu ili aweze kuni add, nikampa jina
ninalotumia...akaniambia kuwa hiyo sio facebook id, sasa nauliza hivi facebook id ni nini hasa, na ninaipataje...
Ninatumia ttcl broadband na nina gb za kutosha nahitaji ku download series ya NIKITA bure na sijui niitoe wapi na nitaichukuaje huko naombeni msaada plz
Nataka niweke adsense code kwenye site yangu. Code nshapewa tatizo nikiweka hamna kinachotokea najua matangazo kuappear mpaka application iwe approved lakini hata blank ads hazitokei. Msaada please...
Unaweza kuangalia game online kupitia FirstRow Free Live Sports Streams on your PC, Live Football Stream, Myp2p, Live MLB, Live NBA, Live NHL and more... chagua link upate uhondo.
Naomba kujua vipi naweza kutuma file lenye sauti ambalo nimesave ktk pc yangu kwenda Jf....
Nimetumia option ya ku insert attachment nimechemka.....msaada wenu pls
Wadau ebu niambieni ipi ni recorder nzuri ambayo unayoitumia kurecord online radio,nimejaribu kusearch kwenye gugo nimedownload kama mbili hivi na nikatest lakini sound ipo chini sana hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.