Mambovipi wa kubwa ebwana nina tatizo hapa kidogo kwenye my twitter Account leo siku ya tatu nihivi niki sign in kwenye simy yangu LG KP500 Aifunguki nakuta na msg hii hapa Something is...
Habari wakuu!
Kuanzia leo mchana nikijaribu kucharge inasema USB hub connectde not charging! Check usb port etc
note: nimejaribu kubadilisha various usb ports na sources,ata charger zakawaida...
mambo zenu
i want to share this trick kwa watumiaji wa simu ambao ni wavivu wa kutumia proxy
kuna kitu kinaitwa real host kinamuwezesha mtumiaji kutumia net ya bure kama kuna acses ya free...
Wakuu naomba msaada kwa simu hii.
Tatizo ni;
Ukiongea kwenye simu au ukisikiliza muziki / radio inakata na kutoa mwanga mweupe kila baada ya dakika 1 au 90secs. Kisha inarudia hali ya kawaida...
wadau naombeni msaada wenu kama kuna yeyote anayefahamu ni wapi au namnagani naweza kupata kitabu kinachoitwa "Teach yourself Qt Programming in 24 hours" free?
shukrani wadau.:)
Msaada jamani wana JF E-mail yangu ya hotmail kila ninapotaka kufungua inaniambia imefungwa kuna procedure wanazitoa za ku-unblock kila nikizijaribu nakwama,kuna yeyote mwenye idea nifanye nini...
Nimekuwa Mbeya kwa muda wa miezi miwili sasa. Modem za vodacom zinasumbua sana, connection ni tatizo na hata iki connect inakuwa slow sana mpaka inachosha. Tatizo jingine unaweza kununua vodabomba...
kam kawa ndugu zangu..kuna apps moja hapa ni kali acha..unaweza ukaji2mia sms yeyote na ku in sert namb ya rafki yako..xo sms itaji2ma ktk inbox yko na itaonyesha imetumwa kutoka kwa m2 uliye...
Nipo huku mkoani Nilinunua lnb na decoder mwanzo viliungua na radi ila katika Channel ya TBC radio zipo mbili tu tbc fm na taifa clouds haipo je njia gani nitumie kuiadd hii clouds?
Yap 2 whole weeks for free Zantel UNLIMITED download woow!!! In one week I download like 20GB so.. 2 weeks u can even download 50GB its up to you... All you gat to do is win My Competition and you...
wadau tafadhali naomba mnisaidie, kuna bwana mmoja kaniletea ipad anadai ni hii mpya(iliyorelease-wa Oct 2011) naombeni mnisaidie kwamba nitatofautishaje kati ya iPad 1, iPad 2 na hiyo iPad 3...
naomba msaada hapa,Natumia Nokia X2-01 sasa nikitaka ku download inaenda mpaka file husika na kunihitaji nichague folder la ku save file hlo bt mwisho wa siku napata msg hz Error and Error...
Mwanzo nilikuwa ninatumia internet ya tigo kwenye simu yangu nokia 3110 bila matatizo ila nikapoteza sim kad hiyo na kununua nyingne, ila hii mpya nikitaka kuingia net inaniambia 'Packet data...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.