Pia naomba msaada wa kuunganisha cm kwenye computer kwa kutumia usb cable au bluetooth iwe connected na nokia pc suite,mana nilitumia usb cable flan ya nokia nikapata lakin kwa sasa kila nikitumia...
Kama kuna anayejua jinsi ya kuongeza internet speed kwa computer zenye Window 7 operating system wakuu anisaidie. Nakumbuka kwa watumiaji wa XP iliwezekana, mimi naomba nisaidiwe kwa Window 7
Wakuu mi nina kaiphone kangu kila nikisign in jf after one thread nikiwa nimesoma ninajikuta automatic nimesign out bila Hata ya kufanya hivyo.Pls naombeni mnijuze ni matatizo ya iPhone au ni...
Wadau,nina acer aspire one d255 lakini haina bluetooth,je ninaweza ku install bluetooth device software? Au kuna card mpaka ninunue niweke ndo naweza kupata bluetooth au ndo haiwezekan kuwa na...
1:Kwa anaefahamu malipo ya dstv kwa mwezi(viwango mbalimbali).
2:Je,
kuna uwezekano wa kuchagua chnl mf mpira,zinazoonesha wwe kama unalipia chnl 25?naomba kujuzwa!!
Habari zenu wana jf!
Nawaombeni sana ndugu zangu kwa yeyote anayeweza kunisaidia kuondoa tatizo kwenye simu yangu SUMSUNG GT 3212i.
Tatizo:kuna wakati it may take 10 seconds inaandika dsn...
Habari zenu wakuu, naombeni mnielekeze sehemu hapa dar ambayo nitaweza kununua refill kit kwa ajili ya catrages za HP, nimetembelea sehemu nyingi hapa dar wengi wao wanarefill tu hawauzi tonner au...
wakuu habarini,huku mie niliko mwanza naona tangu mchana kuna hali ambayo tangu kuzaliwa kwangu nahis cjapata kuona maana mchana mishale ya saa7 nimeona jua likiwa limezungukwa na kitu kama upinde...
nokia wametoa sim yenye uwezo wa 41 mp,ln kinacho shangaza ni kubwa ina sensor tano za 5 mp na toleo la mwisho la picha ni 5mp.yaani sijaelewa kabisa kuhusu camera yake.
wakuu naomba msaada,nime download win7 kutoka kwenye internet na nime save kwenye computer,sasa nataka ni copy kwenye cd ili niweze ku boot nayo computer,nifanyeje?
imeanza kutokea baada ya kutumia Your feedom client. Open VPN na Afd dialer kusurf Internet. Kama ikiendelea kutokea ina madhara gani?
naomba msaada wakuu
habari wana jf jamani naomba kujuzwa jinsi ya kutumia premium cookies kwa hizi file hosting kama rapidshare au megashares kwa kutumia google crome au mozila firefox kama kuna mtu ana mifano mizuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.