Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
kwa wanaotumia mozila,explorer nk ebu jaribu kutumia opera ni safi sana kitu kama unatumia computer za mac ,safi sana wakuu hata katika kuwnload ni safi kabisa nimeipenda sana mimi
0 Reactions
14 Replies
2K Views
habari za kazi wakuu, Naomba msaada wa nokia x2 unlock code (T Mobile) Nimeletewa toka usa ina line ya T Mobile ila ikiwekwa line ya hapa inataka sim unlock code.
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Canadian scientists are developing a robot that mimics the human face's expressions and human hand's tactile processes, which they say will be useful in areas like nursing, nuclear plant...
0 Reactions
0 Replies
743 Views
Kuna kakitu kanaitwa Banjuka kwenye matumizi ya internet ya TTCL kamenifanya niibiwe mchana kweupe na kampuni hii. Wanasema wanatoa unlimited bundles: Tsh 1000/hr kuanzia saa 12 asbh - 12 jioni...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Kama ulitembelea tovuti kubwa kama Google, Wikipedia na hata Facebook, nadhani uliona kuna ujumbe uliokuwa unaonesha kupinga miswaada miwili ambayo serikali ya marekani inatizamia kuipitisha kuwa...
5 Reactions
11 Replies
2K Views
Website nyingi za tanzania zimekubwa na mikasa mingi sana ya kuvamiwa na virus, zikiwemo za mawizara mbali mbali... hii ina ashiria nini?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
i have been trying my best to trick for the free internet,but it seems am going to put ma hands up!this damn business cracking ma head. i was browsing some where on...
0 Reactions
3 Replies
796 Views
Habari ndugu wana-JF? Naomba mwenye kufahamu vizuri anieleweshe ni nini maana ya Oracle RAC.. Na Oracle-Apps ni kitu gani hasa.. Nataka kuchagua kati ya hizo niisome vizuri.. Au naweza zisoma...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau haya mashirika ya simu ya hapa nchini kwa kweli yana huduma mbovu sana,mimi natumia internet ya vodacom,kwa kweli mtandao huu ni mbovu hakuna mfano!wako slow mno,kifupi ni maudhi tu,tofauti...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Naomba msaada wa kuongeza idadi ya maneno ktk sms kwani simu yangu inaishia 90 na yakizidi inaingia ktk mms..na hapo ukituma msg haiendi
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wapendwa wana Jf, ni juzi tu niliistal W7 kwenye mashine yangu, baada ya hapo nikalog Yahoo, uups! Invalid pasword, nikajaribu ya my waifu wangu, invalid pasword. Kiukweli nimepaniki sana kwani...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
THE DEMISE OF THE COMPUTER MOUSE? It's hard to imagine a computer you can control with your eyes, but the technology exists and should be available on store shelves in the next couple of...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
(Reuters) - The U.S. government shut down the Megaupload.com content sharing website, charging its founders and several employees with massive copyright infringement, the latest skirmish in a...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
NAOMBA msaada nahitaji kuweza kufanya online shopping isiyozidi dola 50 au elfu 50 kwa mwezi, nipo hapa dar, jee nitumie njia gani? ni bank gani inayotoa credit card kwa kirahisi. bila ya...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
hivi hii cable inaweza kutumika ku-copy file from one computer to another. Je ninaweza kuitumia katika ku.copy file kutoka computer ninayotaka kufuta iliyokwama kufunguka? nitashukuru
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani naomba msaada,mi natumia internet ya cm laini ya voda.nikitaka kudownload videoz inakataa vp.?.au hakuna huduma ya kudownload ukiweka chekainternet.
0 Reactions
0 Replies
771 Views
Hi, naombeni kujua kama simu hii ina fm radio.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
For somebody who have genuine Windows Xp SP3 with its equivalent product key, please help me.
0 Reactions
0 Replies
629 Views
suppose someone granted that bonus, that he wants to develop OSS what would you want to see and why?
1 Reactions
5 Replies
911 Views
Nipo kwenye kikao cha wazazi shule ya msingi, kuna mwalimu amesema kwamba mitaala siku hizi imebadilika mitaala ya zamani inasema sayari zipo 9 ila mitaala ya sasa hivi inasema sayari zipo 8. Hili...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom