Touchscreen system kuna wakati inagoma,au unapobonyeza au kuhitaji icon ya chini,inakubali ya juu. Au kuandika meseji,unapobonyeza herufi m,n,o, inakataa inakubali d,e,f.. Je nini utatuzi wake..
Naomben nisaidieni hili tatizo kwenye Pc nimeweka windo 7 Ultament nimeitumia kama miezi minne ikaanza kuniletea hili tatizo Windows 7
Build 7600
This copy of Windows is not genuine
Wakuu,ninatumia simu ya nokia 5130,mwanzo ilikua haina shda,bt toka juzi kila nkitaka kuingia jf,inaniambia error,the web u are looking is timed out,so naomba kufahamishwa,ni simu ndo ina matatzo...
wakuu nauza laptop hp pro book 4510 Tsh laki tano tu, imetumika kwa miez michache sana
specs
Specialized Design
HP 3D DriveGuard
Processors available
Intel® Core 2 Duo Processor...
I have two locked Pantech mobile phones from US at&t company, I am looking for anyone who can assist in generating the unlock codes.
I am ready to pay for the service.
The details are: Pantech...
Jamani mtakumbuka mwaka 2009 jamaa wa GTV walipokumbwa na mtikisiko wa uchumi wa dunia na wakasepa kiaina. Hata hivyo watu tuliendelea kupata Free To Air channels katika receiver yao, nakumbuka...
Naomba kusaidiwa jinsi ya kutumia uc browser, kwani nimeinstall lakin haionyeshi maandish inaweka vibox box nadhani itakuwa ni problem ya lugha je kuna uwezekano wa kubadili lugha au ntafanyaje...
Heri ya mwaka mpya wadau. Nina server dell poweredge 1600sc, ina hhd tatu na zote ziko patitioned, issue yangu kuwa hapa ni jins i gani naweza kuongeza size ya patition ambayo ndiyo ina OS maana...
Great thinkers from jamii forum,
ni mara ya kwanza kupost tatizio langu hapa jamvini, naomba msaada wenu.
Nimenunua iphone4 lakini blue tooth imenishinda kutumia. Haipokei wala kutuma chochote...
Kwa muda wa wiki tatu sasa nipo mkoani Mbeya. Wilaya niliyofikia mwazo hakuna huduma ya 3G kwa mitandao ya airtel, tigo na voda. Pale watu wanatumia EDGE/GPRS ambayo ina speed ya kobe. Leo nipo...
wakuu nina laptop aina ya Dell 610,upande wa betri unaleta shida sana,nikiitoa betri na kuirudisha nikiwasha laptop inakubali,nikichomeka kwenye umeme baada ya muda na kuchomoa cable ya...
wakuu nauza laptop hp pro book 4510 Tsh laki tano tu, imetumika kwa miez michache sana
specs
Specialized Design
HP 3D DriveGuard
Processors available
Intel® Core 2 Duo Processor T6570...
kuna tabia ya marais kutumia simu toka nje ya nchi pasipo kujua mifumo yake ya mawasiliano na usalama wa habari na mazungumzo yake yako kwenye kiwango gani. kuna taarifa ya kuwa blackberry...
wakuu nauza laptop hp 4510 Tsh laki tano tu
specs zake ni hizo hapo chini, Imetumika kwa miez michache sana
Specialized Design
HP 3D DriveGuard
Processors available
Intel® Core 2 Duo...
Habari wana jf? Nina laptop aina ya compaq presario cq 60, nimeshindwa kupata drivers za coprocessor.
Any1 anaejua what this coprocesor thing is, na hw 2 get t!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.