Salaam! <br /><br />
Nahitaji msaada wenu wakuu modem yangu ya ttcl inagoma ku connect kila ninapoichomeka inanipa message ''error 777: The connection attempt failed because the modem or...
Kuna post iliwekwa hapa na member mmoja wa JF "Sizinga" ikieleza namna ya kupata Windows XP CD key kutoka kwenye CD yenyewe. Kwa anaye fahamu namna ya kupata key kutoka kwenye CD ya Ms office 2000...
mimi nina server the intel shida yake ni kwamba unapoiwasha itawaka kwa muda wa dakika 5 au mbili halafu inawaka taa ya red ikiwa inamanisha kuna tatizo lakini limejaribu ku clear bios bado tatizo...
najaribu kucheza game ya need for speed run, napata error Dxgi-error-unsupported,nimeshaupdate display drivers,laptop specs zipo juu,ila game ndo halitaki kuplay, msaada please
Habari wadau. Ninampango wa kununua video camera, sasa naomba wadau mnaojua camera nzuri ya bei ndogo na inayotoa kazi nzuri, aina ya camera na ubora wake iwe mpya.
THE government will spend over 300bn/- on laying the national fibre-optic network, the Minister of Communications, Science and Technology, Prof Makame Mbarawa, has said.
The minister said the...
NASA's Kepler space telescope has found two new planets orbiting a distant sun-like star, and the researchers who made the find say these two are the size of Earth or smaller. That's a first in...
Wakuu hivi hali ya hizo fani au sijui nizeme vipaji au urithi wa teknolojia kwa baadhi ya makabila Tanzania upo au unapotea na kuteketea.
Kwenye mkutano wa rais JK na vyaa vya upizani pale...
Ninapoplay baadhi ya nyimbo kwenye computa pale chini kulia naona maneno haya na nnapoyaclick inaonekana kama ni configuration je ni nini hv na nifanyaje?
Before You Select a Desktop Computer System
Looking to buy a new desktop personal computer system? This guide covers many of the basic items to examine when comparing desktop computer systems so...
Wadau hivi ndivyo inavyoniambia comp ninapojaribu kumalizia driver niliyodownload(wifi) kutoka katika dell.com kwajili ya deli yangu d630. Tatizo nini na nifanye nini?
Nilisahau mahali charger yangu ya Samsung. Nimenunua ya kichina juzi inafanya kazi ila baada ya muda simu inazima. Unapodhani imejaa unachomoa charger ukiwasha simu bar hazijajaa! Nilipokuwa na...
Dear great thinkers,
nina tatizo la simu kutopokea wala kutuma kwa blue tooth. Simu yangu ni iphone4, nifanyeje ili simu hii iweze kupokea na kutuma picha, muziki, n.k. Nisaidieni.
Najaribu ku google nipate picha za mafuriko jijini Dar Es Salaam, naingiza neno "Picha za......" kudadadeki, mambo iliyoniletea imenifanya niachane kabisa na hiyo kitu kwa kuzingatia umri na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.