Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu habari zenu.natumai mpo fresh mkiendelea na mapambano ya maisha.natafuta ups inayoweza kuhimili computer 5..kama mtu anajua wapi nitapata nzuri na bei yake hapa dsm naomba anijuze tafadhali..
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Naombeni ushauri, kuna jinsi ya ku-resize HDD partions? HDD ya computer yangu ina patition C:20GB na D:60GB, nataka ni-resize na kuwa 50GB kwa 50GB. Natanguliza asante.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari,,,, Jamani naomba msaada wenu simu yangu ya nokia x3 inanikatalia security code niliyokuwa natumia kipindi chote yaani kila nikiingiza inaniambia code error. Nimejaribu kutoa betri then...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
br znu wakuu, hiyo hapo juu ni sofware nzuri sana ya ku convert hata scanned doc to word, Exel, Publisher etc kwa anaeweza ku crack key yake afanye msaada. ni matumaini yang hapa hakishindikani...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu mimi natumia Kaspersky 2011 itakayoexpire baada ya siku 182 zijazo,ila jana kiliingia kirusi fulani hivi wakati nilipokuw na update computer yangu, kirusi hiki kilidanganya security defender...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Samsung ambayo inatengeneza smartphone za Android, Windows Phone na Bada sasa inamiliki zaidi ya 23% ya soko la smartphones duniani kuishinda Apple ambayo ina 14% ya soko, Nokia ambayo ilitolewa...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
wanajamii naombeni msaada wa ku unlock modem yangu ya vodafone. ZTE model:k3571-Z imei 359591035074611 s/n 320B1232DA5B
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wana JF embu nisaidieni jinsi ya kuanlock modem yangu ya tingo,ni E153.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Napenda kujua maoni ,experrince na observation zenu kujua ni FAQ ( Frequently asked Questions) gani huwa zinaulizwa sana sana na mara kwa mara kuhusu mambo ya Teknolojia na habari ...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau msaada wa jinsi ya ku configure wireless network katika linux mint natumia laptop aina ya compaq presario cq 61-218EM nimeenda kwa network administrator anasema ameshindwa kuconnect wireless...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
wadau naomba kufahamu tofauti ya fm radio station, kuna nyingine ni mono na nyingine stereo. kwa nini kuna hizi tofauti? je kuna faida na hasara ya kila mojawapo?
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Habari zenu wana jf! Natumia simu aina ya nokiaN70, je, nawezaje kukonekt ili kureceive email direct kama ilivyo kwenye sms. Natanguliza shukran kwenu wana jamvi
0 Reactions
0 Replies
739 Views
wana jf naomba msaada jinsi ya kutumia free internet ya zantel
0 Reactions
0 Replies
941 Views
Mambo vipi wakuu natumaini wote ni wazima nina tatizo kuhusu laptop aina ya lenovo E40 tatizo lake ipo katika lugha ya kichina sasa nimejaribu kuchange iwe ya english nimeshindwa,ila kwenye...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Window-No disk Exception processing Message 0xc0000013 Parameters 0X760692A00X00000004 0X760692A0 Cancel Try Again Continue inatokea kila baada ya sekunde kadhaa na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Automatically Restart Firefox When Memory Usage Exceeds A Limit Firefox eats RAM, we all know it and accept it as one of those things we can overlook because the browser and its library of...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Automatically Watch & Restart Crashed Processes With ReStartMe Parental controls, P2P clients, antivirus software, backup and communication tools; almost all of us like to keep these applications...
0 Reactions
0 Replies
897 Views
Computing Building Blocks Created from Bacteria and DNA TEHRAN (FNA)- Scientists have successfully demonstrated that they can build some of the basic components for digital devices out of bacteria...
0 Reactions
0 Replies
855 Views
Ingia Android market kuna Bible moja hivi (Bible.is), unapata na Audio yake,yaani unaweza kusoma sambamba na kusikiliza,au ukafungulia Ikaendelea kushusha Gombo kwa kimombo saafi kabisa. Pia ina...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wanajamvi kuna watu wengi wanaexperience slow internet speed kutokana na kuconnect kwenye EDGE badala ya 3G yenye kasi kubwa.Hii inatokana na ukweli kwamba sehemu nyingine hasa mabondeni na mbali...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom