Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Dar es salaam only.
0 Reactions
0 Replies
623 Views
Jamani nimekutana na tatizo moja dogo, nime design website yangu nikaweka radius corners/curves nimetest kwenye firefox imekubali lakini kwenye IE imekataa ninasuluhisha vipi hapo?
0 Reactions
0 Replies
977 Views
Wadau mwenye driver hapo juu anisaidie tafadhali nakosa uhondo wa movies na music! Natanguliza shukrani
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hii ni ile tab(sizani kama niko sawa) yaani zile information za mobile broadband nnapodisconect modem na kutaka kukloz inagoma ila inakubali kuminimize tu ila haitoki labda nikizima na kuwasha...
0 Reactions
2 Replies
909 Views
ni daladala(NISSAN CIVILIAN) kutoka tandika kwenda posta...bado iko BOMBA na bei yake ni nafuu sana kwa maelezo zaidi piga 0755417774 or 0716172067
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari waheshimiwa, Nimekwama hiyo printer ina print mixed colours kote kwenye black and white na pia kwenye color option, nimejaribu kuweka catridge mpya matokeo yamekuwa yale yale nimechukuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu, kwa wale wajuzi wa Visual Basic nahitaji kufanya project ya chuo kwa kutumia hiyo language. Naomba mnisaidie title, shukrani !
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jamani wadau simu yangu NOKIA 1280 IMEGOMA KUWAKA.INAANDIKA CONTACT SERVICE.TATIZO NI NINI.NAOMBENI MSAADA JAMANI....
0 Reactions
7 Replies
3K Views
PC yangu nina ms word ya 60days only. Nahitaji wa kunisaidia jinsi ya kupata key ya full license. Nitafurahi mkinisaidia mahali pa kuipata kwa bei nafuu. Natanguliza shukrani.
1 Reactions
24 Replies
3K Views
tafadhali naomba ushauri nitumie ANTIVIRUS gani iliyo nzuri?
0 Reactions
17 Replies
2K Views
KUFORMAT COMPUTER KUNAFANYIKA PALE AMBAPO COMPUTER YAKO INAKUWA IMEZINGUA (IME CORRUPT). NINI MAANA YA KUFORMAT COMPUTER? NI KITENDO CHA KUFUTA KILA KITU TOKA KWENYE HARD DISC YA...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
TTCL Broadband Connection ya ADSL ile inayotumia telephone landline inamatatizo muda sasa..zinafika siku 6 kuna mtu yoyote anayotumia halafu haifanyi kazi mpaka leo hii?mana mimi adi leo hamnakitu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wataalam mimi inbox ya e-mail yangu inashambuliwa sana kwa kuingia mails za kichina nyingi , yapata hata mail 60 kwa siku naomba ushauri nifanyeje kuzuia hii hali asanteni mfano wa...
0 Reactions
0 Replies
960 Views
Nimekuwa nikitumia laptop na modem,ambapo nikiweka sh 2500/- nasurf mwezi mzima. Kwenye simu najikuta nimejiunga moja kwa moja,hivyo vocha yangu iwe ya line yoyote nakatwa kulingana kB na mB...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wataalam natumia dell d 600, wakati wa ku start up inaanza vizuri lakini baada kama ya dakika tatu, ina stop mouse haifanyi kazi na program zote zina stop(stack) pia inaleta ujumbe usb root hub...
0 Reactions
0 Replies
964 Views
Wadau naombeni gharama za kununulia moderm kwa sasa Tigo=? Airtel=? Voda=? Thanks
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Halow Jf!! OK nilikuwa nafanya Research fulani kuhusu kutengeneza Pesa online kwa wenye Website,blogs,wapsites na Developers......etc matokeo yakawa mengi ila short ni Kufanya matangazo Binafsi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani wadau naombeni msaada.Kila niki burn VIDEO CD Katika Computer yangu ina ruka ruka.Tatizo ni nini?huwa natumia spid 40 au 36.TATIZO NI NINI?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
The file comprises of more than one emulator for PS1 PS2 GAMEBOY ADVANCED NINTEDO WII NINTENDO DS MAME NES XBOX SNES WS PSP You can download it for free from Emulator Pack - All Consoles...
0 Reactions
1 Replies
890 Views
Back
Top Bottom