Habari wana JF. Nilipokuwa niki update window ya PC yangu, niliwekewa ujumbe ukisema "You may be a victim of software counterfeiting"Je kuna kitu kibaya kitafuatia in the future na kuharibu window...
wadau nimekwama kufanya mautundu kwa hii program ya sony games like playstation 1,2 n 3....as well as Xbox...kuna m2 anaweza nisaidia hacked serial number zake....for those who wish to know about...
Habari zenu wakuu,kuna wakati mtu una haraka kuzima computer lakini inachelewa kuzima.Hii ni njia ya kuizima haraka.
1.Fungua task manager kwa kupress Ctrl+Alt+Del
2.Kwenye menu ya taskbar...
Been searching for free none trial adobe illustrator online for about quarter a day now...but no signs of success, seems i kant get it without giving some dimes! please help
Roketi la Soyuz lilifyetuliwa leo kutoka kituo cha misafara ya anga za juu ya Ulaya katika Guiana ya Ufaransa katika eneo la Karibian, ikiwa inabeba satelite mbili za mwanzo za mfumo wa Galilleo...
Nimeunganisha laptop na subwoofer ila tangu juz kila nikiguza button za boofer kama kuongeza saut wakati nimeconect na laptop button hiz za boofer zinanishtua na short hv hii short inatoka wap na...
Popular smartphones no longer worth buyingPosted October 21, 2011 12:05pm by Marty Gabel
www.yahoo.com/business
There is no better time than now to purchase a smartphone. Apples iPhone 4S and...
Adroid wameshindwa tena kwenye uzinduzi wa OS huko Hong kong ikashindwa kufanya kazi wameleta features kama una weza fungua simu na sura yako badala ya kuweka number au kuswipe. Da lakini kama...
........ know that the looks of the website.blog is a major thing but it is not everything...
Kuna watu, ashirika au blog wanatumia nguvu nyingi sana kutegeza website nzuri lakini wanasahau...
Nilikuwa nacheck salio kwenye modem yangu nikapata majibu haya......
Thank you for using Airtel Services. You have already used -16074MB of your 400MB bundle, Your remaining balance is 16GB, your...
Wadau najiuliza hivi kuna kipi hasa cha kufanya lazima upeleke simu kwa Service Provider wako ili akuunganishe uweze kutumia internet kwa simu za Blackberry?
Na hii itakulazimu ujiunge na bundle...
Many computers take a lot of time to boot (or start ).This is due to many reasons.
Some slight changes can do wonders for your system:
1.Press start->run then type msconfig and press enter...
Kwa wasiotaka kusubiri misekunde yote kudownload mafaili rapidshare tumia njia hii rahisi
1.open your rapid share link
2.then click on free.
3.As soon as timer start type this in address bar and...
haya masimu ya kisasa yenye sijui wifi na skype na windows 6, pamoja na ma iphone sijui siyapendi kabisa! ingawa yana features za kisasa zote, mengi ni aidha smartphones au touchscreen., kwanza ni...
Wadau naombeni msaada..tokea jana nikifungua facebook kwa ku2mia moderms za voda inakataa.nimejaribu kutumia airtel na tigo inafunguka bt kwa kutumia moderms za voda inakataa.kinachoshangaza ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.