Habarini wana jf wenzangu,
Naomba kujulishwa au kufahamishwa ni app gaani ilio boora ambaayo naweza kuitumia kujua mahali alipo mtu anaetumia simu ndoogo ya mkonooni(battani).
Nawasilisha asanteeni.
Mimi ni fundi simu upande wa hardware na ni mzoefu kwa miaka 10 na 90% ya simu ninazotengeza ni tecno, infinix na itel. ni kweli kila simu inaharibika na kila siku napokea simu zenye matatizo...
Nina uelewa mpana kidogo juu ya html na CSS ila ni mgeni kweny js na php
Kweny practice zangu upande wa forms hua natumia attribute ya required ili kufanya validation lakin naona kama sio unyama...
Wakuu wangu me nimehitimu kidato cha Nne na natarajia kusoma IT napenda sana mambo ya technology. Je nikwavipi naweza kuwafikia watu wengi zaidi kupitia mtandao na technology kwa ujumla???
Nahitaji kutunga uwezo wa Python ambao unachukua msururu wa kamba kama ugomvi wake. Uwezo unapaswa kuchapisha kamba hizo kwenye muhtasari ambao una kama vifungu vidogo vitu vyote vinavyozingatiwa...
Mtaalamu mmoja wa masuala ya Cyber ameichunguza na kugundua kuwa searching engine ya google ina mchezo wa kupuuzia maneno yako unayoandika ili kusearch na kukupa matokeo ya vitu vinavyotrend hata...
Nilinunua chaja aina ya Excellent miezi miwili iliyopita nikiamini itanifaa hasahasa kwenye upande wa fast charging.
Na kweli kwa kipindi cha mwezi wa kwanza niliyoitumia ilikua inajaza 100%...
Tuesday, July 19, 2022
A study by researchers in the Middle Eastern country of Qatar revealed that natural immunity is 97 percent effective against the Wuhan coronavirus (COVID-19), even after...
Shemeji baada ya kuona namtengenezea mazingira mazuri ya ndoa yake na Sister akaona simu yangu imechoka sana..hapa naandika nikiwa nmei connect kwenye charge moja kwa moja.
Mtu akinitingisha tu...
Baada ya kushindwa kununua galaxy S10e kwa sababu ya bei,nimepata pesa kidogo ninayoweza kununua simu hizi;
1.Honor 10 lite
2.Huawei y7 pro
3.Redmi note 8
4.Lenovo z6 lite
5.Realme q
Naimba kwa...
Hivi inawezekana kuview Browsers kuingia kwenye Browsers mbili kwenye PC mfano Google na FireFox bila zenyewe kuonekana kwenye Screen kwa pale Chini?
Yani I mean inawekana mtu kuview Browser...
Wakuu habari za Jioni?
Nina simu ya Sumsung S8+ huwa inakawaida ya kuzima mziki baada ya light ya desplay kuwa out (off). Au hata ikiwa connected kwenye blottooth.
Natanguliza shukran.
Habari JF,
Ninatumia simu tajwa hapo juu, shida ni kwamba ina ji-restart lakini bettery hearth maximum capacity 100% ukichaji fasta inajaa mapema na kuisha ni fasta.
Hapa shida ni nini?
List hii ya simu 10 bora kwa camera ni kwa mujibu wa DXOMARK.
Bila ya kupoteza muda tuanze na namba 1
HUAWEI MATE 40 PRO
Huawei Mate 40 Pro is officially announced on October 22, 2020.
The...
Habari naweza tumia internal HDD ya laptop kwenye desktop kama extenal HDD?
Nina dell optilex 7020 core i7 je naweza kuongeza internal HDD 2TB na isilete shida maana nimesikia hdd kubwa zinaua cpu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.