Habar ITS,
Naomba msaada wa kiufundi kwa yeyote aliyena keys za kureset Printer aina ya Epson Namba L3060 Head Counter tuwasilkane pleas ni very agents
Asanteni
Habari wana JamiiForums,
Leo nimeona niandike kuhusu application za smartphone.
Zifuatazo ni application za smartphone ambazo ninazitumia na zinanisaidia sana;
1.LIBRERA
Hii ni app ya kusomea...
Wakuu salaam!
Nisaidien App nzuri ya sms ambayo ninaweza ku backup sms kwenye drive. Natanguliza shukrani zangu.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Siku chache zilizopita niliwasiliana na hii kampuni ya CONNECT 16 nikihitaji huduma ya internet kwa matumizi ya nyumbani(hasa huku remote areas) na nikapewa maelezo haya kutoka kwa mhusika:
1...
Habari wakuu,
Wakubwa naomba msaada ni laptop gani nzuri inayofaa kwa matumizi ya chuo?
Inategemea unasoma nini na unapenda laptop zenye kukidhi mahitaji gani..
kuna laptop za kiofisi (almost...
Wakuu naomba kueleweshwa kuhusu web hosting, usenet, domain name, database, web traffic analysis na cloud computing hivi vitu jinsi vinavyofanya kazi kuanzia maana, shughuli, uhitaji, uendeshaji...
habari za muda huu wana jamvi hope mko poa, kama nlvotangulia kusema hapo juu naomba mnisaidie kupata ile link ya kurejesha contacts zilzopotea maana nimejitahidi sana kuusaka ule uzi humu lakini...
Wakuu naomba kujua kama kuna namna naweza punguza mwonekano wa ukubwa wa apps.
Yani kama kuna settings nisiyoijua katika kuzipunguza applications zisiwe kubwa,napenda ziwe ndogo
Ukiambiwa uchague moja kati ya hizi kwa matumizi ya nyumbani, utachagua ipi na kwa nini?
1. High Spidi Internet bila kikomo (Fiber) Mwezi mzima.
2. FULL DSTV + AZAM TV + Startimes Mwezi mzima...
Umewahi kujiuliza ni vipi wamiliki wa mtandao wa kijamii wa WhatsApp wanavyopata faida ilhali huduma hiyo inatolewa bure kwa watumiaji?
"Facebook na Instagram ndizo madirisha ya duka ilhali...
Ladies and gentlemen nawasalimu kwa jina la JMT,
Mimi nikiwa mdau wa huduma za AzamTV kuna jambo ambalo ningependa kushauri kuhusu huduma ya ku stream channel za AzamTV kupitia web app.
Najua...
Nawezaje kutoa contacts zenye this feature on my contact list? Maana unaamtafuta mtu ambaye clearly anakutafuta on her / his terms, na sio vibaya but mimi naombeni mnisaidie Anywhere I can filter...
Habari zenu wakuu
Kwa budget ya 350K naweza pata simu aina gani mpya madukani?. Pia naomba kujuzwa specifications zake kama RAM, storage, battery life, pamoja na anroid version.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.