Naomba msaada kwa mtu anaejua namna ya kupata chanel nzuri za muvi na mpira kwa kutumia decoda za free chanel. Decoda nayotumia ni mediacom. Kwa muda mrefu tulikuwa tunapata etv, muvi tv...
Jamani mimi siyo mtaalam sana wa computer, tangu jana kwenye laptop yangu nimejikuta nikifungua website yoyote ile, haifit kwenye screen size. Maandishi yanasambaa sana nikitype email, au nikisoma...
kuna jamaa namfahamu hua akiingia katika internet cafe anaweza kudownload mpaka 20 gb na zaidi ndani ya saa moja. Tatizo hasemi hata kwa hela, anaejua pls tupeane ujuzi jamani.
ebana mimi nimechukua computer lakini haina flash inaiwezesha kuplay vitu vilivyo kwenye internet kabla ya kudownload.je flash gani nzuri ya kuplay kwenye internet na inapatikana web gan?
Baada ya voda kutuzingua na unlimited yao kuona tunafaidi sana. Nataka hamia TTCL je naweza nunua line ya ttcl na kutumia kwenye modem yangu nliyo i flash?.. Je package zao zinakuaje? Na ofa...
1. what design pattern have you ever used in your projects and what was your experience?
2. What are procedure you follow from conception of project to final release?
if(isset($discussion)){...
Wadau nimenunua hii gadget ili kushare mobile interent from 3g modem za Vodacom/Zantel ; haikubali .................................KLana iko ok kwani ndiyo nayotumia nikiweka adsl modem ya TTCL...
Naomba msaada kwa anayefahamu jinsi ya kuupdate bios. Nimejitahidi kila niwezavyo imeshindikana. Ninazo information zote kuhusu kuhusu BIOS yangu.
BIOS Type: Insyde
BIOS Version...
Niaje wakuu? natumaini hii post tayari kama ishawahi kuepo ivi ila naomba niweze kushare knowledge na wenzangu kwani nimefanikiwa hii kitu hadi raha japo bado sijaaanza transactions. Ni hivi,jinsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.