Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari ya wikiend wakuu... Naomba kwa mdau mwenye link ya Gb WhatsApp aiweke hapa tafadhali!
1 Reactions
150 Replies
30K Views
Heshima kwenu wakuu Naomba msaada, hivi nawezaje kudownload movie za netflix Yaan nna laptop,nataka nidownload movie kutoka netfl;ix na kulisave file la iyo movie kwenye laptop Hii inawezekana...
1 Reactions
9 Replies
36K Views
Wadau habari za jioni! Niende moja kwa moja kwenye mada husika. PC yangu imepata tatizo la ghafla la kuwaka na kuzima,Yaani kila ninapoiwasha kwenye screen haionyeshi kitu chochote zaidi ya...
1 Reactions
10 Replies
8K Views
Wakuu Mimi fundi madish sasa apa kwa jirani ana dish lake haya ya zamani madish makubwa nlikuwa naomba msaada.kwa anayefahamu frec za itv maana naangaika signal. Sipati kuna watu wameniambia...
1 Reactions
20 Replies
1K Views
I'm sorry , Nina changamoto kidogo ya kiuchumi. MImi ni web developer, ambaye nimepitia ups & down kadhaa katika maisha yangu. NB: Physically nina shida kidogo kwenye sikio la kushoto hivyo...
0 Reactions
6 Replies
704 Views
Habari, ni Computer program gani inatumika kufanya Video Editing na naomba nielekezwe jinsi ya kuipata. Kama Kuna mtu anayo anisaidie kuipata.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
naombeni ushauri juu ya simu hizi mbili nataka nichukue moja wapo wataalamu
0 Reactions
2 Replies
754 Views
Habari wakuuu Kuna mtu anauwelewa wakubadili apple id kama umesahau password yako nimejaribu wameniambia niwait siku 10 na me niko na vitu vya umuhimu so kama mtu anauwelewa wakuchage apple id kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kupatana ni moja ya apps ambazo nazipitia sanaa kila siku na imenisaidia kuachana na changamoto ndogo ndogo za kiutapeli, ila kwa sababu ni mzoefu hilo nalimudu. WARNING: Kua makini na vitu vya...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
waungwana hebu tukumbushane tena zile code jinsi ya kuweza kuzi adapt text kwa mfano kuwa kubwa kubadilisha rangi na kadhalika
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu habari Kwa muda mrefu , ninashahuku ya kujifunza programming language, ila mpaka sasa sijajua nianze na language Ipi, na jinsi nitajifunza.. Najua humu ndani kuna mafundi wazuri wa haya...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
wadau kuna kijana wangu anaomba kufahamu jinsi ya kujisajili jamii forums maana inamsumbua sana.
1 Reactions
16 Replies
13K Views
Naomba kuuliza! Hivi kati ya used laptop na zile wanaziita refurb zip ni bora?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari? Wakuu msaada tafadhali. Nina vijana (watoto wangu) ambao napenda wajifunze kupiga vyombo vya muziki kama kinanda (keyboard) na Guitar kwa kuanzia. Tafadhali anayemjua mwalimu ama shule...
0 Reactions
32 Replies
10K Views
Mtandao wa Facebook unamilikiwa na kampuni ya Meta Chini ya Mkurugenzi wake Mark Zuckerberg. Umefanya Maboresho kwa kubadili Rangi iliyokuwa ikionekana kwenye Hashtag na Mentions. Hapo awali Mtu...
2 Reactions
4 Replies
671 Views
Unaweza kupata kwa kuwa na "koneksheni" toka kwa anko Unaweza kupata kwa kumpa "chochote" au kuwa "chochote" Unaweze kupata kwa kupambana Kama unataka kupata based on merits, hakuna shortcut...
14 Reactions
19 Replies
3K Views
Hii ni kutoka katika huu Uzi niliouleta siku chache nyuma Unaweza Soma hapa https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1949938/ Kama ilivyo ada huwa siachi Jambo Nililolipanga Baada ya...
5 Reactions
24 Replies
2K Views
Naomba msaada nimezisikia kuwa kuna YouTube channel zingine hazita husika na kulipia huko TCRA je ni zipi izo? Mimi nataka nifungue channel ya education/tips and tutorial niwe naelekeza mfano ku...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Habarini wakuu, Je natakiwa kufuata taratibu zipi kuwa na website? Kuna vibali vyovyote natakiwa kulipia serikalini?
1 Reactions
9 Replies
800 Views
Habari wanaJF. Siku hizi matangazo ya biashara kwenye kurasa nyingi za mitandaoni yamezidi - hadi kufunika ulichofungua kurasa kusoma. Matangazo mengine yanafunguka katikati ya shughuli. Iko...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom