Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Ndgu zangu habar zenu, Mimi Ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa kwanza nna laki5 ninataka kununua PC, lakini sna knowledge nazo Sana najua wengi humu mnaweza kunisaidia. 1.brand gani itafaa Zaid...
2 Reactions
20 Replies
1K Views
Wakuu Nina TV ya LG ila picha haionyeshi vizuri, inakuwa na Blue iliyozidi kiasi haionekani vizuri,,
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Ziwe nyepesi kueleweka kwa mtu anayeanza kujifunza. Nitashukuru sana. Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
1 Reactions
4 Replies
856 Views
Daah kweli hakuna lisilowezekana chini ya jua leo nimeweza kuwa Uptodate naenjoy na Windows 11 kwenye 2GB RAM PC
4 Reactions
50 Replies
4K Views
WEKA WINDOW 11 MPYA KWENYE PC AMBAYO NOT SUPPORTED !!! Je unapenda kuinstall window 11 kwenye kifaa chako lakini Changamoto haikubali mean unsupported kutokana na haijakizi vigezo vyote ? Najua...
5 Reactions
20 Replies
3K Views
Wakubwa, Hivi kati ya software developer na software engeneer ni kipi kizuri kusoma na faida zake ni zipi!?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habarini , naomba msaada tafadhali mwenye kujua bei ya hii switch ya pump ya maji .
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Hizi simu za google pixel nimezielewa sana upanda camera zinachukua clear shot mpaka kero Kwa hapa Bongo Naweza pata kwa bei au zanzibari kwa 3XL na vp kuhusu spare zake hizi simu
0 Reactions
24 Replies
6K Views
Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania Kwa yeyote anayefaham procedure ya jinsi ya kupiga window kwenye desktop naomba anielekeze jaman ili niweze piga kwenye desktop yangu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Najaribu ku enable RCS via google sms kwa ku switch on chat features lakini kila mara inabaki kusema inaverify number. Kuna mtu yeyote amefanikiwa kutumia hii feature?
3 Reactions
18 Replies
5K Views
Habari za sahivi wanajamii Naomba niulize Ni host gani ambaye ni mzuri na cheap nimehost site na Godaddy lakini ni majanga zaidi ya majanga. Website yangu inatakiwa kuwa online 24/7 afu nahtaji...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Samahani wakuu ni mdau mwenzenu baada ya kuchoshwa na hizi kazi za kikoloni nataka nifungue kaofisi na kutengeneza laptops na simu..naomba kujua ni box gani inayotumika sana kwa sasa yenye uwezo...
5 Reactions
364 Replies
92K Views
Ilianza kama utani hivi wengi wakawa hawa amini, wengi wakaanza kutoa kejeri na kumbeza kumuona limbukeni tena wengine wa kaanza kutukana na kumuona mjinga. Kwa kijana mdogo sana kufanya maamuzi...
31 Reactions
106 Replies
15K Views
Habari wakuu, Mimi ni muhitimu wa shahada ya mawasiliano, vile vile nafanya web application na mobile application development. Nina uzoefu wa kutosha na Object Oriented Programming Ninadesign na...
8 Reactions
22 Replies
2K Views
Wakuu mimi ni moja ya watu ninaopenda kuwa Software developing ninampango wa kusoma ICT je nitaweza kutimiza ndoto zangu? Nakama mtu anaconnection ya chuo cha hapa Dar itakuwa poa
0 Reactions
4 Replies
617 Views
Just Read: Hello. how are you doing? I am from the Caribbean family and i live in Dallas, TX I want a website design for my Wife Restaurant opening soon and I will like you to use this image for...
9 Reactions
34 Replies
3K Views
Jamani Mambo vp. Kuna project nahitaji kuanzisha ambayo itahusisha sana sana watu wa vijijini. Hii project ni lengo ya kutoa elimu kwa watu wa vijijini especially kwa wanafunzi wa shule za...
1 Reactions
2 Replies
508 Views
Hi JF tech Guru Is there any easy method to import back my outlook mails back to my yahoo or hotmail accounts? Pls help if it can be done
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hili si tangazo la kazi bali natafuta kijana mwenzangu ambae ni programer na yupo kwenye app & web dev. Nimegraduate last year, computer science, hata kama huna degree ya computer science na wewe...
8 Reactions
14 Replies
2K Views
Matumizi ya javascript yanaendelea kukua kila siku kwa kuwa ndio lugha pekee inayoweza simama pekee yake pande zote mbili yaani frontend na backend aiseh nafikiri uwepo wa node. JS ni sababu moja...
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom