Umeme na mifumo ya saketi zake
UMEME
Umeme ni nini?
Umeme ni mtiririko wa electrons,ndani ya conductor(waya).
Mambo yanayo kamilisha umeme.
1.Voltage (msukumo)
2.Current ( mtiririko wa...
Hivi karibuni serikali kupitia wizara ya Habari Mawasiliano na Teknolojia ilitoa takwimu za watumiaji wa simu janja/smarthpone na kusema ni 27% tu ya Watanzania wanaotumia smartphone.
Pengine mtu...
habari wana jf,
Natumaini mu wazima!! nilifanya factory reset kwenye simu yangu, lakini kabla ya kufanya hivyo nilihamisha mafaili mbalimbali kutoka internal storage na kuyaweka kwenye SD card...
Habari wakuu.
Naomba kwa yeyote mwenye ujuzi wa programming in solidity, blockchain na smart contracts anisaidie kuweka function ninayohitaji kwenye smart contract ambayo nilitengenezewa na mtu...
Kwa wapenda music hakuna music player zaidi hii ya poweramp ila baada ya kusumbuka nimefanikiwa kuipata new version[full version,paid] iliyo safi na salama na haisumbui zile meseji za playstore...
Habari kwenu wataalamu, katika kujifunza C++
Nimejaribu kufanya mfano huu, lengo likiwa ni kuonesha maneno yanayojirudia knye sentensi, lakini sipati matokeo nnayoyahitaji.
Nnakosea wapi?
Habari za humu!!
Kipindi cha siku mbili zilizopita nimeona matangazo na baadhi ya video za youtube zikielezea kuhusu hii app ya SamaPay ambayo imeanzishwa na mchezaji wa mpira wa miguu Mbwana Ali...
Nahitaji laptop bajeti yangu n TSH 750K, naombeni ushauri laptop gani nzuri hata kama kuna kuongeza unishauri but bajeti isizidi TSh 800K. Natanguliza shukrani
Sent from my SM-A217F using...
Hi hustlers,
I hope you're fine I want to share with you the following cool programming careers apart from being a programmer analyst or data-entry operator as following:
1: Programming...
Unafiki tuweke pembeni kunja USO kunjua roho
Simu za OPPO Ni Unyama Sana.
Nmemiliki simu ya oppo Kwa mara ya Kwanza Naona inavitu vzuri cha Kwanza ni uwezo wake wa kiusalama MTU akiiba hawezi...
Wakuu vipi nimekuwa nikitengeneza video zangu kwenye pc sasa nataka kuweka youtube je nitapataje copyright ili kuzuia watu kucopy na kupaste.
Ukinijuza fanya mimi ni kama mwenye 0 yani sina ujuzi...
Salama wakuu. Naomba kuelekezwa namna ya kuindoa virus kwenye pc bila kubadili windows. Asante nisaidieni. Nipo dodoma na mafundi wengi wananiambia ni lazima kupiga chini window then kuweka...
World's Youngest iPhone App Developer?
Taylor Buley,
Pierce Freeman, age 14, recently had his first iPhone app approved
There are probably tens of thousands of iPhone application developers...
Katika biashara mtu bei uwa inapungua kwa kadri anavyonunua vitu vingi, lakini kwa mitandao ya simu upande wa data za internet imekuwa tofauti.
Yani kwa kadri unavyonunua ndivyo unachajiwa zaidi...
Ikiwa uko kwenye soko la simu mpya basi unaweza kutumia muda wako kuangalia kamera ni megapixels ngapi, saizi ya display au jinsi inavyoweza kucheza game. Lakini kuna jambo lingine muhimu ambalo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.