Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Nimenunua hii simu mwaka jana mwezi wa tisa Mwaka huu mwezi wa pili simu imezima tu screen ghafla, haijadondoka,haijakwaruzika hata screen Imetumwa samsung Dar wanasema ni FAULT which means sina...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Wataalamu wa Kompyuta au yeyote mwenye uelewa anaweza kunielewesha. Hivi,kwanini ukimtumia mtu picha kwenye simu au kompyuta yake ibakie tena kwako(Kwenye simu au Kompyuta yako)?Si hivyo tu,kama...
0 Reactions
6 Replies
826 Views
Moja ya sifa ninazosikia kuhusu bitcoin, ni kwamba ni uncentralized, hivyo huwezi kutrack mtumiaji. Lakini kwa sasa kuna matukio kadhaa ya NSA kutrack wamiliki wa bitcoin, pia wameshikilia...
2 Reactions
5 Replies
816 Views
Wakuu nilikuwa naomba msaada boksi gani nzuri kwa software za simu, Bajeti yangu ni Million moja.
1 Reactions
11 Replies
2K Views
wakuu habari za muda huu, Niliagiza oppo kikuu online katik maelezo yao walidai nakuta google play service iko tayar installed lakn haikua hvy kwa mtu ambay anajua namna kutatua tatizo nahitaji...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
IT wa Ukoo na mtaa nimetolewa knock out baada ya kuletewa simu aina ya Infinix hot 10T yenye shida ya kushindwa kuzionesha simu zinazoingia ila baadae kuonekana kama missed call kwenye call log...
4 Reactions
21 Replies
10K Views
Tumesikia habari za wizi uliofanyika katika mfumo wa Selcom Pay, wahusika wamekamatwa na zaidi ya bilion 2 Ni ukweli usio na shaka ya kuwa mfumo uliingiliwa pamoja na kuwa Selcom hawajataka...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Simu gani inajaa chaji mapema zaidi duniani kuliko hii
1 Reactions
43 Replies
5K Views
Mimi ni mtu ambaye uwa nikiwa na muda napenda kujifunza vitu vipya. Vingine uwa najifunza just for fun na vingine uwa vinakuja nilipa na vingine vinanisaidia tu mwenyewe kwenye mambo yangu hasa...
8 Reactions
21 Replies
2K Views
Wanajukwaa habari zenu. Naomba kujua kama kuna njia au kampuni inayojishughulisha na huduma za kuagiza vitu online (mfano kama ilivyo Alibaba) toka Kenya kuja bongo. Naona Bongo baadhi ya simu...
2 Reactions
27 Replies
7K Views
Hi wakubwa. moja kwa moja kwenye mada, tumedisign mfumo (it solution) kwenye mnyororo mzima wa thamani kwenye kilimo (agricultural value chain) ambao utarahisisha mahusiano na mawasiliano kwa...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu wana Jamiiforums na wote wanaopenda kufahamu zaidi maswala ya teknolojia. Kwa walio wengi ambao ni watumiaji wa Mac Computers za zamani iwe ni PPC au Intel wamekutana na majawabu...
1 Reactions
7 Replies
962 Views
Habari Nina laptop yangu aina ya Dell touch screen tatizo lake nikwamba ikitingishika/kutingishwa laptop yote ina stop kufanya kazi mpaka uizime kwa button ianze upya.yaan nikwamba yenyewe haitaji...
1 Reactions
1 Replies
808 Views
Habari zenu wana Jamiiforums na wote wanaopenda kufahamu zaidi maswala ya teknolojia. Kwa walio wengi ambao ni watumiaji wa Mac Computers za zamani iwe ni PPC au Intel wamekutana na majawabu...
2 Reactions
1 Replies
455 Views
Habari zenu Wadau Wa Tech Nimekaa Muda Mrefu Kutokana Na Changamoto Za Maisha Leo Nimeona Bora Nizungumze Na Kuwapa Tahadhari Wote Wanaomiliki Au Wanaopenda Kuja Kununua PC Laptop Aina Ya Lenovo...
6 Reactions
22 Replies
3K Views
Habari mimi ndugu yenu Binadamu Mtakatifu ni mmiliki wa channeli ya youtube na blogu hasa kilicho nileta hapa ni kuwa kazi hii ni ngumu kuifanya pekeyangu pia bado visitors ni wachache sana hivyo...
1 Reactions
37 Replies
3K Views
Naombeni msaada jinsi ya ku arrange blogu kama sehemu ya teknolojia unaweka maswala ya teknolojia na sehemu ya breaking news una arrange breaking news tu
1 Reactions
8 Replies
828 Views
Wakubwa TV yangu aina ya Lg ni flat screen ina ukubwa wa inch 43 Jana nikiwa napanga vitu ilianguka na kujigonga kwenye ncha ya meza upande wa kioo hivyo kupelekea kupasuka na kuvujia wino naomba...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Kuelekea mwisho wa mwaka 2021 kampuni ya simu za mkononi TECNO yenye mashabiki wengi hasa upande wa simu janja inatarajiwa kuzindua toleo jipya la mfululizo wa simu zake aina ya TECNO Camon 18...
8 Reactions
41 Replies
39K Views
Naombeni msaada, Nataka kurudisha email yangu ya zamani ila tatizo number niliofunguliaga haiko hewani ishapoteaga na wala sina recovery email yani zaidi yakukumbuka jina la email yangu sikumbuki...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom