Aliye na app tajwa hapo juu ajitokeze tufanye kazi, angalizo, sitaki app ya kufanya kazi online, lkn pia app itumie kifurushi cha kwenye simu sio kununua sms moja moja.
Tetesi zinaonyesha kampuni ya Google ipo mbioni kuingia katika soko la Miwani za AR na imeanza majaribio ya kutengeneza AR Glasses zake.
Mwaka jana tuliona Snapchat, Ray Ban, Meta, TikTok...
Habari za Xmas niende Moja kwa Moja kwenye mada.
Majuzi nilijiunga na mtandao huu. Hapo nyuma nikiwa natumia WhatsApp ya kawaida sikuona hizi mambo....kwa namna WhatsApp GB ilivyo ukiwa online...
Honestly, kama kuna kitu wabongo wanapigwa basi ni screen protectors.
Hivi ni mara ngapi umeweka screen protector kwenye simu halafu ukaangusha na bado screen ikavunjika?
Hivi unadhani...
Kumekua na maswali mengi sana kuhusu watu kutaka kujua namna ya ku-track simu ya mtu mwingine.
Kwanza kabisa naomba itambulike kuchunguza simu ya mtu mwingine bila ridhaa yake ni kosa kisheria...
Heshima kwenu watalaamu wa jukwaa hili,
Nina Budget ya 800K ninahitaji laptop. Majukumu maalum ni kama Kutumia Softwares kama AUTOCAD, CIVIL 3D, STAAD PRO, MATLAB na program baadhi za Engineering...
Habari za humu wakuu!!
Natumai wote ni wazima na mnaendelea na ujenzi wa taifa letu, bila kupoteza muda naomba niende kwenye mada husika.
Wengi wetu tumejikuta tukipoteza namba nyingi za simu za...
Heshima kwenu wakuu.
Hivi, unaweza ukakuta Wimbo umewekwa You Tube lakini sio video, utakuta kama CD Inazunguka hivi halafu kuna jina la Wimbo pembeni na jina la Msanii husika huku Equalizer...
Wakuu natumai mpo poa,
Uzi huu ni kwa watumiaji wa idevice na wanaojua maujanja na sio uzi wa Android user kuja kupiga madongo.
Sote tunajua kwamba idevice ni bidhaa bora sokoni lakini kuna...
Msaada wakuu wa hizi kazi.
Nahitaji kuongeza ujuzi kidogo.Naombeni msaada wa software nzuri ambazo kwa mtumiaji asiye na abc skills za video editing na graphics designing anaweza jifunza.Ikiwa na...
Habari za muda huu naitaji ushauti wenu wa laptop nzuri ya kununua maana nilikuwa natumia hp notebook core i7 cpu 2.6. Ingawa kwasasa nimeiuza.
Nahitaji laptop nyingine ya bajeti hiyo na...
Ambaye anajua kupiga windows 10 vizuri na anapatikana shinyanga mjini please naomba ani pm, kunafala mmoja kanipigia window leo sijui kaipigaje narudi nyumbani naiwasha pc yangu naambiwa repair...
Habari ya muda huu. Nilikuwa nauliza ni application gani naweza kutumia kutengeneza VIDEO LYRICS kama hizi
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Habarini za Weekend Waungwana Wenzangu.
Naomba msaada wenu, ni aina gani na ni wapi naweza kupata TABLET kwa Shilingi Laki Saba hapa Bongo.
Sifa zake iwe ni;
Mpya
ANDROID
RAM kuanzia 4 GB
ROM...
Habari zenu wakuu, kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu nahitaji Graphic designer wa kunitengenezea id card inayofanana na hii
aliye tayari anicheki 0628505577
Sent from my itel L5002P...
Habari Wakuu,
Ninaomba msaada kwa wenye uelewa kwenye Masuala ya Ufunguzi wa kituo cha Radio.
Nina ndoto ya siku nyingi ya kuweza kumiliki kituo cha Radio ila kwa sasa ninataka nijipange ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.