Ukisafiri baadhi ya nchi, website za muhimu kama za dini huwa zimefungiwa.
kuna browser inyoitwa opera, hii ni browser kama ilivyo kwa google chrome, lakini imeboreshwa zaidi kwa kuwekewa ndani...
Leo ningependa tufahamu tofauti ya music system tunazofunga ndani na matakwa yetu kwa kile tunachotaka kupata nyumbani.
Najua home theatre system ni maarufu kwa wengi wetu na wengi tunapotaka...
Habari za usiku huu wa manane
Ndugu yenu nataka nijitose kariakoo kwenda kununua simu nzuri dukani kwa ajiri ya matuzi ila zaidi iwe na uwezo wa kucheza games kubwa kubwa zenye high resolution...
Habari zenu ndugu humu ndani....nina refurb ya s20+ hapa 5g model inagoma kuupdate android version na security patches hapa last time inaonekana kuwa ni December 2020 so no new security updates na...
Heshima kwenu wakuu.
Naomba mnielekeze jinsi gani naweza kuikuza hii movie ijae/ienee/ionekane kwenye screen nzima...?
Naombeni msaada wenu wakuu.
Shukran.
Naombeni mnijuze hii ttcl internet fiber huwa inavyopita chini inawezaje kusambazwa majumbani, inabidi machimbo yachimbwe majumbani ili kuvutiwa waya wa fibrea au inakuwaje?
Wakuu habari zenu, jumapili ya tar 5/12/21 nkifanya process ya unlock bootloader ya kimeo changu redmi 8a, nlipambana sana mpaka kuja kufikia hatua ya kupewa muda wa kusubiri baada ya masaa 69...
Habari za mda huu wakuu
Natumaini wote wazima
Kama kichwa kivyoeleza hapo juu ni application Gani Yako nzuri unayoitumia katika photo editing za picha mbalimbali unazopiga , na mbinu...
Habari Wakuu,
Kwa siku tatu Sasa Simu yangu Tecno BC3 imekuwa na tatizo la kudownload Apps kwenye play store. Nikijaribu inasema pending tu. Nimejaribu solutions zote nilizopata mtandaoni...
Naomba msaada kwa Yoyote anaefahamu namna ya kuondoa hii Safety Lock Notitication katika TV (Samsung). Hakuna sehemu blank ya Kuingiza Password kila Button unayopress inakwambia Safety Lock.
Hellow.....Nina King'amuzi cha Dstv sasa nahitaji kuunganisha TV 2 zote zioneshe kwa wakati mmoja! Nina hitaji kifaaa gani na ni sh.ngapi niendee kariakoo Sasa hivi! au kuna njia Gani ya kufanya...
Hello wanateknolojia habarini!!!!..Samahanini naomba mwenye kujua tatizo ni nini kwenye laptop yangu aina hp na ina windows 10 system anishauri cha kufanya, kama ni kufanya mwenyewe au kupeleka...
Jamani mimi niko na ATM card ya Equity bank, inaonyesha kuwa iko na uwezo wavkufanya malipo kwa VISA .
SWALI LANGU KWA WAZOEFU . Naomba kujulishwa usalama wa akaunti yangu baada ya mm kilipia...
Salam wakuu,
Napenda kuuliza hivi haiwezekani zikawepo ATMs za mobile money? Yaan inakua ina function kama ATM za kawaida tu lakini yenyewe inasimama kama wakala? Mtu anaenda anachagua tu mtandao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.