Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wana body natanguliza shukran, Nina google pixel 3a xl Jana kuna mtu ametoka nayo msumbiji ilivyokuja nimeweka line ya airtel imesoma fresh nikaweka hela na nikajiunga kifurushi na data nikawasha...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Waungwana nimejaribu kufanya hivyo nimejikuta natumbukia kwenye website ya nsa.go. Je hiyo kitaalamu imekaaje? Kuna uhusiano wowote baina ya hilo neno illuminati na hao jamaa wa national security ag?
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Msaada jinsi ya ku- unlock id ipad2 Nikiingia hapo inaniadikia try again
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu katika teknolojia nahitaji msaada wenu ni wiki kadhaa sasa kuanzia nimejiunga na mtandao wa matangazo wa hapa bongo wa seebait lakini nashindwa jinsi ya kui-verify akaunti yangu...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu, Nilikuwa nina baadhi ya maswali kuhusu huu Mtandao wa matangazo wa seebait 1. Jinsi wanavyolipa ( PPC, CPM or CPA ) Na Kama kwenye PPC, How Much Cost Per Click ?? 2...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Kama kuna habari mbaya niliyopokea weekend hii, ni ya netflix kutotoa tena swahili subtitles. Hii ina maana fursa moja imefungana hii ni kutokana kwamba kulikuwa na malalamiko mengi ya subtitles...
8 Reactions
17 Replies
2K Views
Hii ni kifaa cha kampuni fulani.nimekinunua kwa hela nyingi lakini mwisho wa siku kikawa hakina kazi kutokana na mtandao husika kutokuwa na coverage kwenye remote areas.Coverage ipo mijini tu.Ni...
3 Reactions
19 Replies
1K Views
Hellow GT habari ya muda huu kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba mnifahamishe Desktop kwa ajili ya kazi ya video graphics Inapaswa kuwa na sifa gani, pia bei zake za mwisho ni tzs ngapi...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Mara nyingi huwa watu wanapost humu kuwa wanataka kujifunza programming na hawajui waanze wapi. Ukiwa beginner kupata resources nzuri zenye mpangilio mzuri ni mtihani kwa wengi. Challenge...
2 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari wanajamii forum, Naomba kuuliza hvi kama mtu anatumia Spy App na anakuchunguza utajuaje? Maana nahisi boss wetu anaspy App na Je, nitajitoaje ili asinispy? Naombeni ushauri. Ahsante wakuu
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mambo vp wanajamvi, je unatamani kuwekeza katika tekinolojia lakini bado unasuasua, au ww ni Technopreneur na unahitaji kuongeza faida? Hata mpango uko hivi, kuna tekinolojia hii inayotrend kwa...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau nimeagiza begi mtandaoni na limenifikia yapata wiki sasa. Kwenye mkono wa kubebea kuna USB port. Hivi kazi yake ni nini kwa wenye utaalam? Nimeuliza ofisini hamna anayejua
3 Reactions
40 Replies
4K Views
Habari wakuu... Tupeane experience, hivi samsung s9 bado ni chaguo zuri kununua mwaka huu 2021 na mtanzania wa kawaida, Kufwatana na sifa zake... Ama ishapitwa na wakati? Na kwanini?
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Nimeibiwa laptop. Je kuna namna ya ku track au nipotezee tu? Cc Chief-Mkwawa
1 Reactions
24 Replies
3K Views
HELLO Habari wana jamvi mimi nimepata shida kidogo mahali nilikuwa nimepewa kazi moja ila kwa kweli ni kubwa mno. Nina makaratasi hapa kama yote na yameandikwa kwa lugha ya kingereza sasa...
2 Reactions
41 Replies
6K Views
Ninahita kujua kwa hapa Dar, wapo zinauzwa iphone Original
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Wadau mwenye kujua frequency za Wasafi Fm kwa mkoa wa Morogoro anisaidie
1 Reactions
3 Replies
13K Views
Habar zenu nahitaji kujuzwa ni app gani nzuri kwa ajil ya screen record maan nimeingia playstore naona nyingi nyingi tu
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Jama n mi ni mpenzi wa serious za kikorea ni site gan ntapata kudownload korea drama...plz
0 Reactions
15 Replies
15K Views
Back
Top Bottom