Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wadau nahitaji kuipandisha simu yangu samsung note 9 yenye os 8.1 kwenda os 10 nifanyeje?
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Salaam wakuu, Straight to the point, simu yangu imeanza behavior Moja ya ajabu sana. Baadhi ya apps hazifunguki (zinazotumia internet access), kwa mfano uc browser turbo ilikua my favorite...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Jaman jinsi ya kupata avn number nacte mbona napata changamoto ya error 4002
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hivi inawezeka kuunda Android app itakayo weza kuhost video na kuweka mpesa Kama mfumo wa malipo.
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habarini wakuu Samahani sana ila Naomba kwa mtu aliye na setup ya game kati ya FIFA na PES anisaidie. Shukrani
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna aliyewahi tumia hii kitu naomba uzi
1 Reactions
3 Replies
743 Views
Naomba kufahamu process za kuhamisha Hosting kutoka company moja kwenda jingine !!!
1 Reactions
8 Replies
920 Views
Simu ie smartphone, inaweza kuwa na jina kubwa au umbo zuri lakini ikakusumbua kutokana na uwezo mdogo ie uwezo usioendana na mahitaji yako. Hivyo kuna mambo ya kuzingatia unaponunua simu ili...
8 Reactions
200 Replies
40K Views
Habari wadau.. Kama kichwa kinavyojieleza, tuajua technology inakwenda kasi na mambo yanabadilika sana. So ningependa kujua kwa range ya budget hiyo simu gani nzuri naweza nikapata maana nataka...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Wakuu. Nilikua nauliza mini maana ya breadcrumbs issues detected kwasababu Mimi nilikua na blog yangu na baadae nili submit kwenye sitemap ilichukua wiki tatu tu wakanitumia icho kitu na sasa...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari ya siku wanajamii, naomba kuwauliza mafundi wa humu JamiiForums. Ngoja niende kwenye lengo la uzi kabisa. Mimi nina Tv aina ya LED [HDMI] nch 19. Sasa nina mda kitambo sipo home...
2 Reactions
15 Replies
827 Views
Wapi nitapata domain name kwa bei cheap ya $3 kwa mwaka ninunue? Nitaka niunganishe blogger
0 Reactions
0 Replies
637 Views
Habarini wapendwa naombeni kujua programme au softaware yoyote ya kuitambua simu iliyoibiwa ilipo kwa kutumia IMEI namba Tablet yangu imeibiwa sasa nina imei namba moja nataka niitrack ilipo
2 Reactions
15 Replies
5K Views
Wakuu naombeni msaada wa kutoa Google Frp kwenye Samsung A20s
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Msaada wa kutengenezewa webiste. Kwa anayejua aje inbox anipe gharama yake tufanye kaz
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari za muda huu mwez mmoja uliopita nilikuwa na samsung note 9, kuna mtu alikuja na oppo A93 kwa kuwa nilipenda ile simu nilibadilishana naye, nilipo kuja mwambia rafiki yangu mmoja alinicheka...
1 Reactions
56 Replies
7K Views
Nawasalimu kwa jina la yeye aliyetuumba, Niende moja kwa moja kwenye mada. Katika kufatilia hizi android TV ama smart TV nimegundua nyingi zina in bulit decoder hivyo mtu akipata antenna au dishi...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Nilipokuwa mdogo nlipenda sana game nilikuwa nkiona computer nachanganyikiwa kinachonijia akilini ni game kipndi kile nlikuwa sina uwezo wa kumiliki computer, washkaji zangu walipo kuja kuwa na...
16 Reactions
20 Replies
6K Views
Habari, Naombeni msaada printer Epson L382 inaprint inaandika mara mbilimbili tatizo litakua nini?
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kama kichwa kinavyojieleza ni simu yenye vigezo gani itanifaa kwa shughuli za usajili wa line za simu?. Mfano wake ni simu gani?
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Back
Top Bottom