Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu nimetengeneza app sasa niliweka matangazo ya admob lakini hayaonekeni nikaamua niingie startapp na matangazo nayaona katika app yangu ila sijajua kama mtandao huu unalipa na nitapata kiasi...
0 Reactions
3 Replies
671 Views
Nilipata update ya Android 11 kwenye note 20 ultra yangu wiki 2 zilizopita, juzi jumamosi nikaamua niipakue na kui-install. Kwa siku 2 hizi nimekua nikijaribu kutafta ama nione kitu cha tofauti...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Nna laptop yangu ni HP Compaq, toka nilipo nunua ilikuwa natumia iko poa ila kuanzia juzi imeleta tatizo, ukiwasha inawaka ikitoa logo ya hp haiendelei, au wakati mwengine nawaka mpaka mwisho na...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu naomba msaada nini cha kufanya maana nimevumilia yamenishinda, naunga 1GB natumia kidogo tu zinakata nkicheki kwenye matumizi ya data nakuta Samsung Cloud imekula 800MB, tatizo ni nini?
1 Reactions
4 Replies
992 Views
Habari nina iphone 5s nikiweka mtandao wa 4g ama 3g nikipigiwa simu inakuwa busy nakuwa siwezi kupiga wala kupigiwa ila msg natuma ila nikiset mtandao wa 2g simu zinaingia na kutoka kama kawaida.
1 Reactions
1 Replies
883 Views
Simu inafuta majina (saved names). Je, hii inasababishwa na nini?
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Simu yangu ni Samsung S 8 Nilikuwa najaribu ku-update WhatsApp lakini nimeshindwa. Nimejaribu ku uninstall ili niirudishe upya pia imeshindikana. Kinachotokea nikiingia kwenye google play...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Habari zenu wana It,kuna laptop aina ya Acer,nimeiwasha inaonyesha ivyo......Je nifanyaje Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
0 Reactions
1 Replies
637 Views
Habar zenu wakuu. Nina laptop yangu hp elitebook2530p .Nilikua natumia window 8 but nikawa nimeichoka nikatakubadirisha niweke window 7 .kila nikianza installation nikifika sehemu ya kuchangua...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Kuna baadhi ya mabadiliko ya APIs na kuna baadhi ya feature pia. Hii ni developer preview kwa maana kuwa ipo basic sana na features nyingi bado hazijafika. Lengo lake hii ni kuwapa developers...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Salamu kwenu! Hivi code inayotumika kuingia kwenye account ya equity bank kutumia simu ni ipi? Msaada tafadhali.
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Computer imejaa lakini nimegundua vitu vipo mara mbili mbili au zaidi. Yaani faili hilohilo lipo locations tofauti tofauti. Je, naweza kuserch na kufuta at once libaki file moja tu.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wakuu kwema? Naomba kama kuna mwana jf humu ana kile kipeperushi cha star times kinachoonesha channel na kifurushi chake na malipo anaweza kunitumia hapa, Ili nijue au kuchagua ninunue...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
*RTC battery is low or CMOS checksum is inconsistent * Press [F1] key to set Date/Time. Nimejaribu kubonyeza F1 lakini hakuna chochote kinachotokea. Msaada plz!!!
0 Reactions
5 Replies
924 Views
I am doing a project titled decoupling technique for antennas and high isolation my code is in matlab software i cant get correct graphs for isolation and return loss of antenna(below -10dB before...
1 Reactions
7 Replies
895 Views
Habari humu wadau wa jukwaa hili? Aseee naomba kujua Instagram niende wapi ili nikiwa naingia kuangalia video za mule zisiwe zinacheza maana naona bando linakuwa linaisha sana, yani niweke off...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Wapendwa naombeni msaada wenu niweze kuroot simu yangu, ni sony xperia z3 compact running android 6.0.1, nimejaribu kingoroot wapi, ila sijajaribu king root make sipend king user mi nahitaji super...
3 Reactions
22 Replies
3K Views
Je, nikweli Huawei wataweza kuishi katika ulo wengi wa androids na iOS Mie binafsi napenda kupata kitu tofauti.
0 Reactions
3 Replies
884 Views
Hii notification inanikera Sana, kila muda unatokea mi nafanya kuisogeza masaa mawili mbele vipi naweza kuidisable kabisa
1 Reactions
13 Replies
822 Views
Kwa Miaka kadhaa nimekuwa mtumiaji mzuri wa Note na S series za Samsung, pia nimejaribu J series kidogo though sikupendezwa sana. Hapa Majuzi kama miezi miwili iliyopita nikaamua nijaribu kutumia...
3 Reactions
61 Replies
6K Views
Back
Top Bottom