Wakuu naomba msaada jinsi ya kuinstall ios 13, nimepita mtandaoni naona taharifa zinanichanganya tu.
Kama kuna mtu alifanikiwa/kafanikiwa naomba maelezo, nimeona hii beta version naomba cons na...
Naomba kama kuna Mtaalam mwenye Software ya KING'AMUZI aina DVB T-T2 Receiver anisaidie
Kama kuna mtu Mwenye Software ya KING'AMUZI Aina ya DVB - T - T2 Receiver naomba tuwasiliane Inbox...
Habari zenu wakuu, kama inavyojieleza hapo juu nina kitv changu hapa cha Sundar na kisabufa cha Seapiano ila tangu ninunue hivi vitu nikiunganisha tv na bufa kunakuwepo na kutokutoka kwa bass ya...
Mimi sipo vizuri sana kwenye maswala ya digital marketing nahitaji kujua vitu viwili kutoka kwenye hii kitu.
1: Kipi hutokea kama hujaweka kabisa audience's interest inamaana itapiga viral au ita...
Simu angu aina ya samsung galaxy a20 muda mwingi inaandika emergence call kwa line zote mbili kuna muda network inashika na kuna muda network inakata.
Nimewapelekea mafundi kila fundi anasema...
Naomba nisaidie kutype fraction ndefu.
Kwa mfano maneno "Distance travelled by the body " yawe numerator na maneno "time taken" yawe denominator.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
My 6.066 BTC was stolen from my wallet. How do I recover them?
I know the feeling of your money disappearing without you know where to start searching for it especially in the form of...
Jana nilikuwa ninasoma kuhusu franchise ya the matrix, nilistaajabu kwamba filamu ya the matrix revolution ilihusisha wataalaamu wa hesabu, aerodynamics, fluid dynamics, physics, computer...
Habarini wakuu,saa 3 usiku wa leo nlihamisha 8500 kutoka airtel kwenda sportpesa, bahati mbaya nimekosea codes pesa ikaenda pasipojulikana. Nawezaje kuirudisha pesa yangu? Msaada wakubwa...
Msaada tafadhali, Files zangu zote zimekua encrypted na uyo jamaa apo juu. Files zote zimekua na Extension ya (.kasp) siwez ku access chochote.
Mwenye kujua Removal Tool, au njia yeyote ya kumtoa...
nina shida sana na copy ya kitambulisho cha kwaajili ya bank akaunt nilipewa emaili ya meneja wa NIDA wa Iringa lakini maeneo ya kazi wanakwepa kutuma barua ya dharula kwa njia ya email
kuna...
Habari wana jamvi nipo natafuta kioo laptop ambayo ni hiyo niliyoitaja hapo juu.pia kiwe cha led na ni nchi 15.6 kama sijakosea.
Taja bei na namba ya simu tufanye biashara
Jamani wanajf nilikuwaa nauliza kama hizi simu zetu za smartphone zina uwezo mzuri wa kijikinga na radi pindi unapoitumia wakatii mvua kubwa na ngurumo za radi.
Nauliza hivi kwa sababu hapa...
Habari za sabato wana jf. Naomba kusaidiwa maswali haya
1. Nini madhara ya kupiga windo mara kwa mara mfano kila baada ya mwezi window baada ya wiki mbili window nini madhara.
2. Window...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.