Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Asalaam aleikum. Najivunia jf lakin najivunia zaidi watanzania wana moyo wa kutoa ushauri inapobidi. Mambo ya mind your own bussiness si utamaduni wetu. Nimenufaika mno na ushauri ninaopataga jf...
6 Reactions
14 Replies
2K Views
Wasaalam wanajukwaa hili. Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza,nimekuwa nikitumuia simu janja yangu ku-share internet na PC yangu kwa kutumia njia ya hotspot lakini cha kustaajabisha tangu jana...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Ndugu members wa jamii forum naombeni msaada, Pc yangu dell inspiron 3521 core i3 3rd generation na 4GB RAM, inazingua ukifungua file manager mwanzoni inafanya kazi fresh, lakin baadae thumbnail...
1 Reactions
31 Replies
3K Views
Wakuu habari za muda huu naombeni msaada. Laptop ni Lenovo Ultrabook S400u nimepiga driveya packsolution lakini naona kuna drive imegoma ku install.
0 Reactions
1 Replies
494 Views
Habari wanajamii nimetumia kwa muda mrefu hii application ya facebook lite sasa nimeona nijaribu kutumia hii nyingine facebook ingawa inachukua space kubwa. Sasa nimeshtushwa na ulaji wake wa...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari za wakati wakubwa Kuna jambo linanitatiza Ambalo kwa hakika humu ndimo sehemu ya kupata majibu. Nafahamu ya kua kwenye gari kuna engine-transmission line(gia box)-kisha wheels Nafahamu...
1 Reactions
0 Replies
820 Views
Wakuu naomba mwenye kufahamu kampuni ambayo inahusika na usambazaji wa hizo mashine za music, zile za kudumbukiza coins, anipe mawasiliano nayo, nipo Dar, nahitaji moja kuna sehemu yangu ya...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wana jamvi, Natumia tecno camon X,kuna simu zilipigwa nili record mazungumzo wakati tunaongea,kwa bahati mbaya nikafuta zile record nifanyaje ili niweze kuzipata tena wataalamu naomba...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Natumaini nyote mmeamka salama, Msaada tafadhari Simu yangu imekuwa na tatizo la upigaji camera kila ninapopiga picha inakuwa na ukungu hata haionyeshi,tatizo hili limeanza gafla,kipindi cha nyuma...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habarini ndugu asubuhi nimeamka nikachonga na mshkaji mmoja anailekebishie PC yangu kioo kimezngua kidogo akasema nimtumie picha ya laptop nikachukua simu nakufungua camera ikawa ipo kwenye flash...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Kwa hiyo mnafikiri watapata GPA kubwa ama uzalishaji utaongezeka sio? Kitu mnashindwa kutambua ni kuwa wengi tunanata. NA DATA TU, HAYO MENGINE NI ADDITIONAL TU, MAANA KUNA VIFURUSHI VYA DAKIKA...
4 Reactions
62 Replies
7K Views
Habarini wadau, Naomba kuuliza inawezekana kuzima sabufa au tv ukiwa mbali kwa kutumia mfumo wa gps or GSM track ? Je nini kinahitajika hapa na je unaweza andaa enterface kama site fulani hivi...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Apple’s Massive iPhone 13 Upgrades Suddenly Confirmed Apple’s Massive iPhone 13 Upgrades Suddenly Confirmed https://t.co/luqEy0lAXu
0 Reactions
5 Replies
799 Views
Habar za leo wana jamii forum naomba mnielekeze wapi naweza kupata motherboard ya dell desktop computer Mashine ni optiplex 790 Mino tower Na Optiplex 3020
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari wanajamvi. Tv yangu ni Bruhm ya nchi 32. Kwa siku kadhaa haionyeshi rangi inavotakiwa na picha haitulii. Naomba msaada wa kujua tatizo ni nini na linatatuliwa, vipuri na ufundi...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Habari wana JF nataka kununua Samsung Galaxy S7 edge mwaka huu, kwani Bado ina ubora uleule wa 2016? Naombeni ushauri wenu [emoji120][emoji120][emoji120]
5 Reactions
97 Replies
13K Views
Niaje Wakuu Baada ya kufanikiwa Kununua laptop kuna kachenji kamebaki.. kama 400K hivi. Si Mnajua Geto la Mwanaume halijakamilika Bila laptop na mziki fulani wa kiaina. Kwa wataalamu wa masuala...
1 Reactions
32 Replies
3K Views
Habari za asubuhi wadau naona jana azam media wamezindua kisimbuzi cha antena,kwa wataalamu mnaweza kutuchambulia utofauti wa kisimbuzi cha dish na cha antena faida na hasara zake
3 Reactions
69 Replies
28K Views
Habari waungwana, nina shida na idm pc yangu nimeformat hivyo idm yangu imekwenda na maji.
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Gwala kwa wana "Jf" wote, matumaini yangu majukumu yetu binafsi yanasonga ipasavyo. Niende kwenye moja kwa moja kwenye mada husika, hivi karibuni nimeingia kwenye sekta ya android application...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Back
Top Bottom