This error is generally associated with an external device you have installed recently and the error message is accompanied with performance issues regarding the device. The error itself can be...
Kuna photocopy mashine aina ya kyocera,naomba kujua kuhusu mambo kadhaa
1.utendaji wake wa kazi ukoje,yani speed na ubora wa picha
2.vifaa vyake kwa hapa nchini ke vinapatikana na vinapatikana...
Habari wanajamii!, naomba kufahamishwa kwa wenye uelewa, wakati wa kutafuta ili kununua a steam iron, ni aina gani nzuri hapa bkngo na ni vitu gani vya kuzingatia kabla.
Sent using Jamii Forums...
Niaje waungwana
katika pitapita zangu nimekutana na pasi za umeme ambazo functioning yak ni baada ya kucharge kama simu.
Je, ni wapi kwa hapa bongo ntazipata, na bei yake ipo je?
Habari wadau. Kwa wanaojua hii device inayoitwa Alexa ni kama ilivyo siri kwenye iphone. Tofauti ni kwamba alexa ni independent device, haiko ndani ya simu. Ni kama kaspika fulani hivi, ambapo...
Habari Geeks,
Naomba kuuliza. Mfano, Mfanyakazi wa Voda akiamua kutengeneza namba na kisha kuzituma kwenye akaunti yake ya M-pesa kama muamala na baadae akatoa pesa kwa Wakala Mtaani.
Je...
Nina sabufa yangu nikiwasha mziki bass inaimba kidogo baadar inakata yenyewe. Inaweza kukaa had dkk kadhaa then inaimba tena..au mpaka nibonyeze bonyeze kile kitovu chake inapiga tena..shida ni nn...
Wakuu habari za muda huu?
Naomba kujua umuhimu wa kifaa hiki
Je, kinazuia radi?
Kinaweza kusaidia vifaa vyako visiungue kutokana na kupungua au kupanda kwa umeme ghafla?
Wiki kadhaa zilizopita nilikuwa na ndugu yangu mmoja mitaa ya Aggrey tukitafuta simu aina ya galaxy Note 4 mpya, huwezi kuamini tulizunguka maduka yanaweza kufika hata 100 lakini hatukupata hata...
Nimepitapita playstore na nimeona kuwa ikitaka kununua kitu huu mfumo unatumika. Naomba kwa ambaye kawahi utumia au anajua jinsi unavyofanya kazi anijulishe namna unafanya kazi?
Habarini Devs!!
Naomba msaada tafadhari!!
Ni kwa namna gani naweza kupata API za miamala iliyofanyika kwenye Benki automatically ili niihifadhi kwenye DB ya system yangu!?
Kwa mfano...
Ikiwa unaweza au unamfahamu yeyote mwenye yjuzi wa kuunda / kutengeneza website sna android apps zenye ubora na viwango vya juu, tuna kazi za haraka.
Taasisi ya Kijamii ya Kiislaam iitwayo Abraar...
Kwema wakuu?
kama kichwa cha uzi kinavyojieleza hapo juu, ningepeda kufahamu juu ya matumizi ya MB kwa watumiaji wa PC zenye window 10,8,7 maana kwa upande wangu nashindwa kumudu gharama za...
Samahani wakuu km kichwa cha habari kinavyojieleza naombeni msaada wa hizo set up zimenihangaisha tokea asubuhi mpaka jioni bado sijafanikiwa.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Kama kichwa cha post kinavyosema, nataka ujue ni jinsi gani ya kuweza kuflash simu yako ya Android kwa kutumia Proglam mbalimbali kulingana na tatizo binafsi.
Hapa kwanza nitaelezea simu...
Naona kwasasa ndio zimeshika soko maduka mengi ya Tv lazma utakuta mzigo wa kutosha, je ubora wa hizi tv upoje jamani kwa wale ambao tayari wanazitumia mje mtujuze!
Sent from my iPhone using Tapatalk
Watumiaji wa Tecno smart Kitochi, Tigo smart Kitochi pamoja na Vodacom smart Kitochi naomba kujua hizo simu kama zina uwezo wa Hotspot, namaanisha kwamba kama nikiweka bando la internet naweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.