Nahitaji kupata hii theme ndugu zangu aliyokuwanayo please aje inbox au anayejua namna ya kuipata ndugu zangu ,mods sorry kwa kuweka link mniwie radhi...
Nina mb zakutosha lkn mtandao wa google,chrome playstore zinagoma kufunguka lkn ajabu nikuwa whatapps, instagram zipo sawa leo ni siku 3 nina ilo tatizo na hii ni line ni mpyaa sasa cjui nayo ni...
Wakuu naombeni msaada
Nataka kununua laptop kwa mtu ila sijajua jinsi ya kuangalia specifications nikiwa na maana ram, I core na vinginevyo
Ni sehemu gan kwenye laptop naweza kuona...
Laptop Repair Tools
The following tools will be very helpful if you decide to repair or disassemble a laptop yourself.
I will make some recommendations and also provide links where you can find...
Habari Jf,
Application ya photos ya pc window 10 imeharibika bila sababu.
Naomba wenye ujuzi wa hili wanisaidie jinsi gani nitaitengeneza maana ndio ninayotumia tu.
Kama kuna application...
Habar za kazi wana jf
Naomba msaada wa kujua ni kozi gani nzuri ambayo ni short kozi ambayo naweza kusoma na nikafahama mambo ya fuatayo
1; jinsi ya kutengeneza websites.
2; jinsi ya kutengeneza...
Habarin za muda huu wakuu, I hope mko poa back to the topic naomben mnisaidie mweny uelewa kuhus kuacces acc yngu ya insta ,tatz ni kwamb nilibadili password bt pale ilipofka kweny kuverify acc...
Wakuu habarini za jioni.
Nimeshindwa kufanya installation ya software katika Ubuntu, kwa msaada wa picha naombeni msaada wa maelekezo.
Asanteni
Cc@Chief-Mkwawa
Nilinunua simu aina ya redmi kwa mtu sasa nilipoflash apps za google zimepotea na sioni sehemu nyingine ya ku download vitu. msaada kwa anayejua nifanye nini.
Nimepeleka kwa mafundi wa software...
Habari,
Jamani hivi majuzi nilinunua iphone toka kikuu lakini mpaka sasa nakwama kuisajir 'I cloud Id' iliniweze kudownload baadhi ya app kama WhatsApp na nyingine.
Kila nikijaribu kukwepa mfumo...
Salam wakuu,
Nimeona kwenye AliExpress hii kitu inaitwa TV Box. Is it worth buying? Vipi performance au tofauti yake na hizi consoles za kawaida mfano PS au Xbox? Naona ziko cheaper compared to...
Hello,
Naomba kufahamu ni namna gani simu yangu Iphone 6s+ isiyokubali line itatengemaa na kutumika kama kawaida. Maana inatumia wi_fi only kwa ajili ya network so no call wala sms.
Msaada kwa...
Poleni na majukumu wakuu
Iko hivi ninahitaji kuagiza kioo cha Huawei Y9 Prime 2019
Sasa ningependa kujua kwa huko online huwa wanauzaje maana huku mtaani nimeambiwa bei yake ni 140,000/= cash...
Nataka nijifunze ku-edit video kwa ajili ya youtube.
Content yenyewe nakuwa nakaa na kuelezea kitu muda mrefu. Nadhani hapa nahitaji kitu simple tu.
Baada ya Corona kuisha, ntaanza adventures...
Habarini za Asubuhi wakuu,
Wakuu mimi nimeletewa Laptop ukiwasha inanguruma tu feni ila kwenye kioo haoneshi kitu chochote nifanyeje wadau ?
Na huyu jamaa anasema kwamba alikuwa anatumia window...
Hapa kuna mbinu 9 za "rewire" njia zako za utambuzi:
1. Lisha ubongo wako
Ubongo wako hufanya sehemu ndogo tu ya uzito wako wote wa mwili, lakini hutumia robo ya kila kitu unachokula. Ikiwa...
Hello bosses..!
Nahitaji kuprogram Eeprom ya immobilizer ya kwenye gari lkn naambiwa 'Chip detect error'
Reader ninayoitumia ni EZP2010, chip ni RA57. Any ideas wataalam
Cc: dronedrake
Kwenye moja ya video amejirekodi Floyd mayweather akiwa kwake kwenye room fulani huku ukutani Kuna kitu Kama mlango lakini ni tv 3,zipo 2 kwa hiyo jumla zinaonekana Kama tv 6.je hizo Ni Tv au ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.