Za saivi wana JF mimi leo mchana nilimtuma mdogo wangu akatoe hela bahati mbaya njiani alichukuliwa na wezi na kuachwa maeneo mbali na nyumbani. Hivyo basi nilikuwa nahitaji niipate simu yangu...
Habarini ndugu nilikuwa nataka kutengeneza mobile app kama project ya chuo mwaka wa mwisho ila walimu wameniongezea requirements wameniambia kwenye io app hata mtu mwenye simu ya button kama nokia...
Wakuu naombeni msaada wa ku switch virtualisation iwe on.
Maana nime downloa bluestack katika PC yangu baada ya hapo katika kuitumia Imenicommand kuwasha virtualization ili niweze ku perfom...
Wakuu siku nyingi za nyuma kulikuwa na Dashbord ya modem iliyokuwa inatumika kupiga simu hata kwa hizi modem ambazo hazijachakachuliwa ili zitumie line zote.
Ni muda mrefu enzi zile akina...
Pc, ilikuwa ni nzima kabisa ila baada ya mda nilipo iwasha ikawa imeleta maelezo haya,
Boot device not found
please install an operating system on your hard disk
Hard Disk (3F0)
F2 system...
Wasalaam wakuu wakubwa zangu shikamoo wadogo zangu malhaba.
Naenda moja kwa moja kwenye jambo langu
Simu yangu ni Samsung Galaxy Not3 ina mda wa mwaka mzma haikubali kudownload mafaili kupitia...
Nimeona tajiri namba moja duniani akishauri watu wahamie signal.
Kuna shida gani na new policy?Mi nilidhani ni kwa watu maskini tu wasioweza kununua simu zinazoendana na update zao.
Pia kuna mtu...
Mtandao wa kijamii maarufu duniani kwa matumizi ya picha na video Instagram, yaongeza kipengele cha utambuzi picha endapo ni halisi au imehaririwa. Kipengele hiki kinaongezwa kuweka msukumo kwa...
Hivi karibuni kampuni ya Infinx imekuwa inajitahidi sana kwani hivi karibuni ilizindua simu ya Infinix Hot 6 ambayo inakuja na processor ya Snapdragon na hii ni mara ya kwanza kabisa kwa simu za...
IT inakua kwa kasi nchini Tanzania, makampuni mbali mbali yanategemea mifumo tofauti katika kutekeleza shughuli zake za kila siku.
Ni wazi kuwa wataalamu wa IT ni muhimu katika sekta mbali mbali...
Kwa mwenye swali lolote kuhusu umeme uliza hapa.
Wakuu haya ni baadhi ya majina ambayo hutumika kama SI unit (people's names used for SI unit)
- Michael Faraday
SI unit of capacitance farad(f)...
Habari zenu wana jf
Leo nimeona nijaribu kujibu maswali yenu kuhusu maswala ya solar na vifaa vyake maana najua kuna ugumu kiasi fulani mtu anapotaka kufunga system ya solar nyumbani kwake tofauti...
Wakuu,
Nimekuta hiki kifaa ndani ya begi la mtumba ambalo nilienda kumnunulia dogo leo.
Nimeshindwa kujua ni kifaa gani na kina kazi gani,maana hata manual yake imeandikwa kichina,nilikuta pia...
Code Named PHP Tanzanite for obvious Reason, We are happy to release first public version of Hosanna Studio, our flagship PHP/Js IDE. Although it is mostly stable and may be used in production...
Habar wadau
Nisiwachoshe nina samsung a2 core ipo poa ina android 8.1 sasa kuna vitu inaniboa mfano haina dark mode wala galaxy theme ivo nakuwa sina uhuru sn pia haina LTE only feature so...
Kama topic inavyojieleza
Nimefungua pages za kutangaza biashara yangu Facebook na Instagram
Sasa Ili iwe na viewers wengi ambao watalike hizo page natakiwa kuzilipia kulingana na bajeti yangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.