Habari zenu wakuu?
Msaada wenu tafadhali. Nahitaji kununua kifaa kimoja wapo cha internet kwa ajili ya matumizi ya nyumbani, je ni kipi ambacho kitakuwa na speed nzuri maana napenda kustream...
A global phishing campaign has been targeting organizations associated with the distribution of COVID-19 vaccines since September 2020, IBM security researchers say.
In a blog post, analysts...
Miezi mitano iliyopita nilinunua simu aina ya samsung S9 plus kumbe hii simu ni refablished ina tatizo la network ukiweka laini karibia zote mda mwingine inaandika emergence mara mtandao unasoma...
Mtumiaji wa simu janja hii njoo unijuze zaidi kuhusu mfumo wake wa kulipia per day.. vp inawezekana kufanya maujanja tukaiflash au... Maana simu ya ram 1 na Gb 8 kwa bei ya 280000 sio mchezo hata...
Nimeanza na kichwa cha habari kwa kuuliza je katika huu ulimwengu wa sasa kuna mtu anaweza acha kweli pesa au kazi inayo muingizia pesa na kufuata passion?
Katika miaka ya 2007s kipindi nipo A...
kama unatumia iphone na icloud na ukafikiri picha zako zipo salama haupo sahihi jamaa wamehack kwenye icloud ya apple na kuiba picha za celebrity kibao na kuzipost online hii ndio list
Aly and AJ...
wakuu nashida na google swahili API in python nahitaji kuandika program ambayo itayoweza kutranslate swahili language to any other language kwa kutumia python
Nimenunua machine hizi Sasa ninazo 3. Kwa biashara za studio ni nzuri kwasababu zinatoa picha zenye kiwango Sana. Picha haipauki kaza zile za Epson Wala kuchanika. Tatizo hizi mashine baada ya...
Wakuu somo tajwa juu lahusika. Nataka nianzr kutengeneza photoentry forms kwa wale WANAFUNZI wanaotarajiwa kufanya mitihani ya NECTA. Nauliza je natakiwa niwe na na nini kwenye kompyuta yangu?
Nina iphone 8 nimenunua kwa jamaa yangu yupo mbele na alisahau kufuta icloud acc, naomba msaada ufuatao
Iphone naitumia lakini ina Apple acc ya mshkaji.....kuna mambo siwezi fanya bila password...
Sio mwandishi mzuri lakini nataka kushare hii na watanzania,
Hii ni moja ya fursa kubwa zinazopatikana duniani kwa sasa,Kutokana na ukuaji wa masoko na mwendelezo wa ukuaji wa teknolojia. Leo hii...
Anaefahamu jinsi yakupata swift comfimation za adsense bank wanataka hizo swift confimation kutoka kwa adsense waliotuma Sijawai toa pesa kwa wire transfer ni mala ya kwanza
Natafuta fundi aliyeko Dar Upanga au Kariakoo. Nina computer yangu laptop Acer inawaka vizuri ila hai display ni pointer tu naiona ila vingine sioni. Nili nunua anti virus Kaspersky ndio problem...
Habari wadau...natafuta housing ya computer aina ya Lenovo y50_70 touch..mfuniko wa nyuma na sehemu ya keyboard..au Kama scraper ipo yenye spare parts tuongee biashara pesa ya mfuko wa shati...
Wakuu binafsi nna disk moja tu local disk c. Na vitu nimeviweka hapo lakini naskia sku window ikizingua ukirepair kila kitu kinaenda je ni wapi salama?nizihamishe?
Mwanzo nilikuwa nmeweka kwenye...
Kama ilivyo desturi kwa wanafunz wa 3rd year kwa upand wa Bsc compt science and IT kufanya final project, nilikuw naomb mnisaadie title unique nayowez kutengeza system or Android app inayowez...
Habar za saiz wadau natumain wote mpo powa,
Naomba msaada jinsi ya kurejesha account yangu ya Facebook ambayo nimesahau password alafu namba niliyotumia kufungulia hiyo account nimeipoteza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.