Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu PC yangu ni aina ya HP Pro elite Book Inatumia window 10 Sasa changamoto inakuja kwenye utumiaji wa MB yaani 1Inaweza isha hata ndani ya dakika 5 tu Sasa naomba Muongozo nifanyaje ili...
1 Reactions
28 Replies
4K Views
Kuna program ninayo inayoweza kuendesha java applications kwenye computer lakini nikiExit application program nayo inaExit naomba mwenye kujua program nzuri
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadau naomba kujua ikiwa natuma msg nyingi za taasisi mf Kanisa na nataka sms ikifika ifike kwa jina la Kanisa husika na sio namba iliyotuma na wakati huo huo huwezi kujibu. Je, nifanyeje?
0 Reactions
2 Replies
792 Views
Wakuu huwa nadownload movies na series kupitia telegram sasa nyingi huwa hazina subtitles, nimejaribu kuangalia kupitia vlc au mx player bt naona dizaini inaleta shida, je kuna njia nyingine...
1 Reactions
39 Replies
3K Views
Habari wakuu... natitaji kufahamu software itakayo nisaidia kupunguza ukubwa wa picha (passport size) mpaka kufikia 4 kb.... Ntatumia digital camera kupiga then nahitaji kuzipunguza zaidi...
0 Reactions
39 Replies
11K Views
Sayansi imesaidia Sana KWA kiasi kikubwa kukabili uhalifu, Hasa KWA nchi zilizo endelea, pia imesaidia kupunguza wanaokwenda gerezani bila hatia, hapa naongelea maswala mazma ya kibiometric, Kama...
1 Reactions
4 Replies
699 Views
Hamjambo wakubwa nilikua natoka zangu pemba kikazi kuja Dar home nikashuka Unguja kama saa saba mchana ikabidi nikatembee Pela unguja ili nivute muda ifike saa kumi nipande boti nije Dar...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Jana kila nilipokua naingia instagram, ilikua ina corrupt, na Simu kurudi ukurasa wa mwanzo yaani Home Screen, nimejaribu mara kadha kuingia bado ikawa ina fanya hivyo, na simu kuwa mzito kwenye...
0 Reactions
0 Replies
796 Views
baada ya minong'ono ya muda mrefu kwamba Apple katika simu zao za 2020, ambazo zinatarajiwa kuwa apple iphone 9(se 2)12,12pro,12 pro max, kuhamia usb type c, sasa kama kawaida yao wazee suprise...
15 Reactions
90 Replies
8K Views
Wadau wenye kufahamu hizi mifi router je! Ni zipi zenye speed nzuri kutumia ukiconnect na simu na bei zake na zinapatikana kwenye maduka yapi!
2 Reactions
16 Replies
4K Views
(Changia chochote) Wewe kama mdau wa masuala ya Technology/Information systems unaona kuna changamoto gani katika mifumo ya sasa ya kiteknolojia au ni mifumo ipi mipya ianzishwe ili kuboresha...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
wakuu kama kichwa cha habari kisemavyo hapa unapost kazi yako ya graphic tunacheki kama inamakosa tunakosoa unarekebisha unajikuta unawiva katika graphic design
3 Reactions
100 Replies
52K Views
Nimepata msala kwa sababu ya kisimu kidogo tu cha vodafone na sasa nimekuwa kama mtu asiye na mikono. Nimetumia computer tofauti tofauti kwa muda sasa, lakini sijawahi ku-short USB Ports kama...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Ni changamoto nyingi sana kwa mafundi wetu wakitanzania upande wa vifaa vya umeme,kwa nini tunashindwa kukabiliana na chanomoto upande wa current yani mkondo wa umeme .! Asilimia kubwa tunakalili...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Salaam wakuu. Kwa muda sasa nimekuwa nina interest ya kujifunza graphic design ila sijajua pa kuanzia, nimekuwa niki Google na kuangalia video YouTube lakini bado sijapata mwanga. Sana Sana...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Nahitaji kununua Mini Projector Lakni sijui nichukue ipi iliyo bora zaidi naomba nijue mambo ya kuzingatia kabla sijanunua hii kitu ni vitu gani vya msingi navyotakiwa kujua kabla sijanunua nisije...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habarini wana jamvi wa JF tech, Bila kupoteza muda niende kwenye swala langu; kuna infinix hapa inaonekana kuna mtu ameichezea afu kaiingiza safe mode, zile applications zote zilizokuwa...
1 Reactions
28 Replies
7K Views
Habari wana Jamvi. 1: Signal za simu yangu sijui niseme ziko chini au lah, ila kila mtandao ninaotumia katika internet mtandao unashika kwa shida sana. 2: Niki set data kwa line fulani, tuseme...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Miezi mitano iliyopita nilinunua simu aina ya Samsung S9 plus kumbe hii simu ni refurbished ina tatizo la network ukiweka laini karibia zote muda mwingine inaandika emergence mara mtandao unasoma...
2 Reactions
22 Replies
4K Views
Nahitaji Fundi Computer wa Kushirikiana nae kazi,, kama wewe ni fundi computer na upo dar tafadhani njoo P.M tuyajenge.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom