Habari members!!
Kichwa Habari hapo kama kinavyosema!
Nini faida ya kutumia kikoa cha co.tz,do.tz au go.tz?
Na je kupitia hivyo vikoa utaweza jiunga na Google AdSense?
Habari wanajf natumia pc aina ya HP lakini naona kwenye batani kuna herufi nikizibonyeza zinatoa sauti alafu naweza nikabonyeza t ikaja hivi t" au y ikaja y[ naomben kujua shida nini? Au setting?
32GB Storage
Full HD 4K Camera and display
4G internet Speed .
Fingerprint security
Sensors za kupima heart rates na physical exercises
Battery life 1 Day
Haina scratch yoyote
If interested...
nina halotel H6307.
tatizo la kasimu hana ni lazima kawe na line ya halotel ...kana line mbili... sharti ni kuwa lazima slot moja iwe na line ya halotel...kitu ambacho siyo kabisa.... mwanye...
Tukutane hapa wanazengo tunaotumia YouTube kujiingizia kipato na ww unaependa uweze jifunza kwa namna moja ukiwa interest unaweza Fanya na wewe!
Me nimeangalia jamii sjaona group kama hili...
kama jana ulikuwa unatumia jf ,kuna muda ulipata hii error 502-bad Gateway
unaweza sema walikuwa ni watu wasiojulikana wakifanya yao,worry not,,
tatizo hili lilisababisha website nyingi duniani...
Jamani habarini za saizi? Please naomba msaada wenu kwa yeyote ambaye anauza au anamfahamu anayeuza account ya ADSENSE yenye domain au blogsport isiwe ya YOUTUBE, iwe imetoa au haijatoa naomba...
Hii ni site ambayo itakuwezesha kuangalia vitu mbali mbali ambavyo vilikwepo kwenye website hata kama vituu hivyo vimefutwa
utaweza kuangalia tangu siku ambayo website hiyo ilikua launched mpaka...
Source Alexa
Jamii forums yashika nafasi ya 5 Tanzania kwa mitandao inayo tembelewa sana hapa bongo,jamiiforums ime mpiku millardayo,bongo5,udakuspecially ambayo iliyonekana kuja kwa kasi kipindi...
Halotel wamenikosha sana roho Jamani
500MB shillings 500
1000mb shillings 1000
15gb elfu kumiiii na dakika na sms kibaoooo nani kama Halotel hakuna jamani Hamieni halotel huku mambo ni...
Heshima kwenu wakuu.
Naombeni mnisaidie link ya ku-download app ya Showbox kwenye simu tafadhali.
Nimejaribu ku-search google lakini siipati ile yenye jicho wakuu. Ninazozipata nikizi-download...
Habari za Leo wana jf natumaini mu wa waziwa afya na nguvu tele
Kama kichwa cha habari kinavojielez mm nimetumi hii cm aina ya Microsoft kwa mda si chini ya mwaka mmoja ila bado Kuna baadhi ya...
Habari wakuu,
Najihusisha na biashara ya kukodisha CD za kikorea ila kamtaji kamekua nataka kununua printer yenye kuprint picha ya rangi na kutoa copy cava za movie kama zilivyo
Je printer ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.