Sijawahi kutumia kabisa hizi simu (Oppo K1 na Xiaomi mi red 4 na Infinix note 5) naomba wataalamu wanijuze ubora wa hizo simu kwa kuangalia
1/Uwezo wa kukaa na chaji kwa muda mrefu hasa...
Wakuu habari za kazi
Kwa muda mrefu nime kua ni kisumbuliwa na swali hili coz ukiangalia kama ni karatasi za rim ktk kuprint soft copy-hardcopy zina tumika saw a na kuphotocopy hardcopy kwa nini...
hii laptop yangu aina ya lenovo nilimpa mtu atumie lakini baada ya kuirudisha nikiwasha kibatani cha kuwasha ndio hutoa mwanga na kisha inazima je ni imeharibika au watakuwa wamechomoa hard disk...
Salaam wakuu,,,
Techno wx3,, ina tatizo la kujaa hadi kufikia nashindwa kufungua apps nyingi hata kupiga simu au kufungua na kutuma SMS! Inaandika " internal storage running out"
Ikifikia hatua...
Habarini za majukumu, naombeni msaada kwa yeyote mwenye ulewa kwenye hili tatizo. Nina UPS ya APC smart ups ambayo hata nikiiwasha haitaki kuwaka na hata nikisema niiconnect kwenye power bado...
Hello bosses,
Nimeamua kuleta uzi huu kwa sababu mbalimbali ikiwemo ongezeko la matukio ya hacking kwenye website mbalimbali, na pia wizi wa data mbali mbali za watu (watumiaji wa websites)...
Natumia pc ya HP window 7, nikicheki muvi au music za video window media player na VLC hzioneshi picha zinatoa sauti. nikizima pc nkawasha itaonesha kwa muziki wa kwanza halafu tatizo linajirudia...
Habari za wakati huu wanajukwaa.
Nimekuja na issue ambayo naamini ni ndogo sana kwa wazoefu wa mambo ya technology.
Ipo hivi, mimi ni muagizaji wa bidhaa china kupitia kikuu. Hivi juzi kati...
habari,je una ngo? na unataka kupokea donations online ? kama jibu ni ndio basi umepata suluhisho.
ntakuwekea donation tab kwenye web yako ambapo utaweza pokea donations kutoka kwa site visitors...
*Whatsapp 4G 4.0* is now released,You must install it Now to Enjoy latest features like *Top Whatsapp Group Links,* *Private msg without showing your number,* *Free wifi mode,* *who view your...
Ungependa kubadilisha lugha ya tarakilishi yako kutoka Kimombo hadi Kiswahili? Ungependa kutumia Microsoft Office kwa Kiswahili? Basi fuata maagizo haya.
Kitu cha kwanza unachofaa kujua ni kuwa...
Msaada WAP kwa dar naeza pata tcl smart TV inch 32 yenye built in ROKU TV maana nimezunguka madukan lakin nyingi in model za zaman ambazo hazina hii roku service. Au tcl zenye android OS atleast
Amani iwe pamoja nanyi wakuu. Kama kichwa kinavyostate, Naomba msaada kwa yeyote ambaye anaweza fahamu namna naweza pata voucher za freedomvpn kwa bei nafuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.